wabungenjaa
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,782
- 337
Bendera ya cham cha ACT - TANZANIA,ina rangi ya zambarau kuwakilisha taswira ya mchanganyiko wa wanachama kila kona ya nchi,utambuzi wa umuhimu wa wananwake,familia katika jamii, pia ni alama yenye kujali makundi yenye mahitaji maalum na ya ziada katika jamii kama ile watoto, wazee na walemavu.
NYOTA; Nama ya kumulika na kuagaza ikiasiria uwazi ambo ndio msingi mkuu w ACT.
RANGI ZA BENDERA YA TAIFA; Kashiria uzalendo,upendo na utayari wa kuliinda na kulitumikia taifa
NYOTA; Nama ya kumulika na kuagaza ikiasiria uwazi ambo ndio msingi mkuu w ACT.
RANGI ZA BENDERA YA TAIFA; Kashiria uzalendo,upendo na utayari wa kuliinda na kulitumikia taifa