Hii ndio bendera ya ACT, rangi na maana zake

Hii ndio bendera ya ACT, rangi na maana zake

Kitambaa cha jeneza, kimekuwa bendera ya chama cha siasa...


Hahahahahahaaaaaaaaaaa
 
Ofisi ni mioyo ya watu aisee na kuwasaidia wanachokihitaji.
Acha kuwaza kiccm ccm vile

Ndiyo MBOWE anawadanganya???
Kalieni humo ufiga guest house wakati mwenyekiti daily anajenga mpaka Dubai.
 
Bendera ya cham cha ACT - TANZANIA,ina rangi ya zambarau kuwakilisha taswira ya mchanganyiko wa wanachama kila kona ya nchi,utambuzi wa umuhimu wa wananwake,familia katika jamii, pia ni alama yenye kujali makundi yenye mahitaji maalum na ya ziada katika jamii kama ile watoto, wazee na walemavu.

NYOTA; Nama ya kumulika na kuagaza ikiasiria uwazi ambo ndio msingi mkuu w ACT.

RANGI ZA BENDERA YA TAIFA
; Kashiria uzalendo,upendo na utayari wa kuliinda na kulitumikia taifa

Chama cha mamluki
 
ni kweli mkuu hiki ni chama cha wasaliti na wahuni wakubwa

KWELI KABISA hii nchi nayo cjui tufanye tutambue na kutofautisha kati ya ni kwel kuwa na vyama ndo kundelea kwa demorasia au ndo tamaa tamaa zetu na umaskin znatusumbua? my opinion three or four political party over if smone came wth ths. u`ll (am guest if did wrong don att~k)
 
Ni mbaya kwakweli. Utafikiri kampuni ya rangi za nyumba. Tafuteni kitu kinachoonyesha uasilia na kupigania haki zaidi!
 
Mkuu ACTDAR ili kukikuza chama chenu inabidi mkazane sana sana usiku na mchana, katka kukisambaza sehemu mbali mbali. Na hii ni kwa jinsia zote, waume kwa wanawake kazaneni sana.
 
Last edited by a moderator:
rangi rangi too late just wastng u tm , mtazeweka sna jf. Ucku mwema na ucku utakuwa juu yenu kamwe kwa7bu ya lana ya usalit
 
ACT kwa hisani ya ccm

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
attachment.php

Mvungi-Mwanga-1.jpg


Chama cha kifo.

Chama cha kuua upinzani Tanzania
 
Kama nyota ni Uislam mbona china katika Bendera Yao Ina nyota tano nao ni waislam?

Msiwe wa dini wakubwa nyie!
 
Back
Top Bottom