Hii ndio bendera ya ACT, rangi na maana zake

Hii ndio bendera ya ACT, rangi na maana zake

Bora ACT wameshakodi ofisi kuliko Chadema hawana hata ofisi,
 
mheshimiwa naomba unijibu swali hili,kwa nn ofisi zenu nyingi na matawi mnayafungua karibu na ofisi/matawi ya chadema?
 
Mnaumia na kuweweseka juu ya mafanikio ya ACT TANZANIA, Chama kinachokua kwa kasi na ambacho ni tumaini jipya la kweli la mtz...na bado. hizi lugha zenu za kushindwa zitawatokea puani.vibaraka

I am dissapointed in you. There is no leader in you. Wewe baada ya kusimamia sera na kutwambia ACT mnasimamia nini..you are busy unajibizana na hawa wananchi humu? By the way hao hao ndo wapiga kura unaowatafuta...my friend..kweli bado...Bado kabisa...

Ukomavu wa kisiasa ni uvumilivu. Na hapo nakupa 5%!

Na ni kitu gani kinachokufanya ufikiri kwamba kila asiyekubaliana na wewe ni Chadema? Pathetic.

My friend ....rudi darasani..siasa bado kabisa...
 
Haahaaa!
Hapo kwenye nyota ndio mmeniacha hoi..
Nyota kazi yake ni kumulika?
Kwa hiyo mpaka iwe usiku tena, na nyota ilivyofifia, si mngeweka hata jua tu.!
Limulike vizuri mchana, kukaushia nafaka, nguo na kadhalika..
ACT safari yenu ni ndefu kama sio ndevu sana..
Najua mpango wenu mkubwa ni ka
#RUZUKU .. Baada ya uchaguzi..
 
Rangi ya zambarau kwangu inawakilisha usaliti na kutojiamini.Nisije nikawaone huku kijijini kwangu
Naibili.Nitaagiza vijana wangu wawapopoe mawe! Am serious!
 
Aiseee, kweli aiseee!!! ACT maana yake IGIZA. Jamaa hawa wanafanya mchezo wa kuigiza!!!!!!
 
Aiseee, kweli aiseee!!! ACT maana yake IGIZA. Jamaa hawa wanafanya mchezo wa kuigiza!!!!!!

Haaa kweli mkuu alafu kinaitwa ACT - TANZANIA inamaana kina matawi ACT- nchi nyingine watch out
 
kwa waislam nyota ni alama ya msikiti, wakatoliki wanamaanisha majonzi na toba ,mara nyingi nyota huonekana usiku tu sasa sijaelewa ACT ni giza ni waislam au wapo kwenye majonzi nauliza tu
 
Rangi ya zambarau kwangu inawakilisha usaliti na kutojiamini.Nisije nikawaone huku kijijini kwangu
Naibili.Nitaagiza vijana wangu wawapopoe mawe! Am serious!
ni kweli mkuu hiki ni chama cha wasaliti na wahuni wakubwa
 
Back
Top Bottom