Hii ndio Afrika: Auawa kwenye jaribio la kuzuia risasi kwa hirizi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,208
103,786
310987589_5385397064904557_1474658674291717229_n.jpg


Mvulana wa miaka 12, auawa kwa kupigwa risasi na kaka yake nchini Nigeria, katika jaribio la 'kuzuia risasi' kwa kuvaa hirizi mpya.

Kwa mujibu wa polisi katika jimbo la Kwara, ndugu hao waliamini kuwa wamejiimarisha kwa kuvaa hirizi ya ulinzi, ndipo kaka mtu akampiga risasi mdogo wake kwa kutumia bunduki ya baba yao.
 
Hivi Nigeria bunduki zipo tu zimezagaa kiasi mpaka wasio na akili wanaweza kuzimiliki?
 
View attachment 2377782

Mvulana wa miaka 12, auawa kwa kupigwa risasi na kaka yake nchini Nigeria, katika jaribio la 'kuzuia risasi' kwa kuvaa hirizi mpya.

Kwa mujibu wa polisi katika jimbo la Kwara, ndugu hao waliamini kuwa wamejiimarisha kwa kuvaa hirizi ya ulinzi, ndipo kaka mtu akampiga risasi mdogo wake kwa kutumia bunduki ya baba yao.
Watakuwa waha hao
 
View attachment 2377782

Mvulana wa miaka 12, auawa kwa kupigwa risasi na kaka yake nchini Nigeria, katika jaribio la 'kuzuia risasi' kwa kuvaa hirizi mpya.

Kwa mujibu wa polisi katika jimbo la Kwara, ndugu hao waliamini kuwa wamejiimarisha kwa kuvaa hirizi ya ulinzi, ndipo kaka mtu akampiga risasi mdogo wake kwa kutumia bunduki ya baba yao.
Risasi haina roho utairogaje?
 
Back
Top Bottom