cjuilakini
Member
- Apr 1, 2013
- 23
- 4
Salamu kwenu wakuu.najaribu tazama njinsi nchii inavyo enda naona kabisa Tunapoelekea siko. Kila wakati mambo yanaenda ovyo tu. Mm sio mwanasiasa ila naona kabisa hizo dalili zp😵na kila sehemu ovyoo tu:
1. Elimu mbovu kupita kiasi
2. Sekta ya afya majanga tu
3. Uchumi ndio usiseme. n.k-
Mijitu badala ya kufikiria nijinsi gani nchi yetu itafika pale yenyewe inafikiria nijinsi gani itaiba.-Wengine wapo Bungeni lakini ni useless wanalala usingizi muda wote wakirudi jimboni wapo wapo tu hata hawajui walienda kufanya nini mjengoni.-Kwakua nyie viongozi mnaishi yale maisha ambayo wengine tunayaona kwenye Tamthilia jumba la maana, magari ya kifahari, chakula cha maana. basi ndo mshatusahau sisi tunao ishi kwenye nyumba za makuti mvua ikinyesha majanga kwetu.
Ninayo mengi ya kusema ila acha kwanza coz huu ni mwanzoTANZANIA SI NCHI YENYE AMANI BT NI NCHI AMBAYO WATU WAKE NI WAVUMILIVU TU. SO UVUMILIVU UKIWASHINDA NAHISI NI MAPANGA KWENDA MBELE, SIO MIMI NINAE YAONGEA HAYA YOTE BT NILIYASIKIA VIJIWENI.
1. Elimu mbovu kupita kiasi
2. Sekta ya afya majanga tu
3. Uchumi ndio usiseme. n.k-
Mijitu badala ya kufikiria nijinsi gani nchi yetu itafika pale yenyewe inafikiria nijinsi gani itaiba.-Wengine wapo Bungeni lakini ni useless wanalala usingizi muda wote wakirudi jimboni wapo wapo tu hata hawajui walienda kufanya nini mjengoni.-Kwakua nyie viongozi mnaishi yale maisha ambayo wengine tunayaona kwenye Tamthilia jumba la maana, magari ya kifahari, chakula cha maana. basi ndo mshatusahau sisi tunao ishi kwenye nyumba za makuti mvua ikinyesha majanga kwetu.
Ninayo mengi ya kusema ila acha kwanza coz huu ni mwanzoTANZANIA SI NCHI YENYE AMANI BT NI NCHI AMBAYO WATU WAKE NI WAVUMILIVU TU. SO UVUMILIVU UKIWASHINDA NAHISI NI MAPANGA KWENDA MBELE, SIO MIMI NINAE YAONGEA HAYA YOTE BT NILIYASIKIA VIJIWENI.