saliel
Member
- Apr 11, 2011
- 84
- 18
jamaa wawili walikua wanabishana mchana kweupe huku jua kali likiwachoma mabishano yao yalikua kama ifuatavyo:
1.hivi wewe unadhani hili ni jua au ni vua
2.hili ni jua wewe huona jinsi linavyotuchoma
1.hapana bana hii ni mvua huoni mawingu yalivyo angana hata jinsi 2livyo loa.
2.hapana bana hivi wewe hujui kutofautisha kati ya jua na mvua
1.kwani wewe unajua
2.hapana
1.sasa kama hujui unang'anng'ania nini
2.basi kwa sababu wote ha2jui ngoja 2muulize huyu jamaa ili a2saidie,''samahani ndugu 2natatizo 2naomba u2saidie''.
3.bila shaka
2.tulikua 2nabisha hapa yakwa ukiangalia anga kwa sasa kuna jua au mvua.
3. akanyanyua macho yake kwa madaha na kuangalia angani, akaangalia kisha akawaambia (jamaa wakiwa na shauku ya kutaka kujua) ''samahani mimi sijui kwani c mwenyeji wa eneo hili labda mumtafute mwenyeji atweza kuwasaidia'' akaondoka zake.
1.hivi wewe unadhani hili ni jua au ni vua
2.hili ni jua wewe huona jinsi linavyotuchoma
1.hapana bana hii ni mvua huoni mawingu yalivyo angana hata jinsi 2livyo loa.
2.hapana bana hivi wewe hujui kutofautisha kati ya jua na mvua
1.kwani wewe unajua
2.hapana
1.sasa kama hujui unang'anng'ania nini
2.basi kwa sababu wote ha2jui ngoja 2muulize huyu jamaa ili a2saidie,''samahani ndugu 2natatizo 2naomba u2saidie''.
3.bila shaka
2.tulikua 2nabisha hapa yakwa ukiangalia anga kwa sasa kuna jua au mvua.
3. akanyanyua macho yake kwa madaha na kuangalia angani, akaangalia kisha akawaambia (jamaa wakiwa na shauku ya kutaka kujua) ''samahani mimi sijui kwani c mwenyeji wa eneo hili labda mumtafute mwenyeji atweza kuwasaidia'' akaondoka zake.