Picha ya wachezaji wa chelsea wakishangilia moja ya magoli yao kwenye club world cupHata mimi najiuliza, namba zina maana gani?
3+5 = 8
4+6=10
3+7=10
8+10+10=28~2+8=10
Changes zitaanza mwezi 8
Wote watakuwa hawapo kwenye mamlaka by end of October=10
Karma!.
Hizi code hata MAXQDA inaweza ikachanganyikiwa.3+5 = 8
4+6=10
3+7=10
8+10+10=28~2+8=10
Changes zitaanza mwezi 8
Wote watakuwa hawapo kwenye mamlaka by end of October=10
Karma!.
Mwenye kibaragashee bona kaanza na nyama😂
Sema. Huyu mzee unaweza kuta yeye ndio anamchezeshea samia hili dude maana huyu mzee haeleweki japo sahv ana onesha unafiki wa kiwango cha juu sana
Tujaribu kwa utabiri wa numerology na asterologgyHivi AI haiwezi kutusaidia hii hesabu?
Kwa niaba yangu pia.hii miezi mnatupa tabu sana --- hapa sisi slow leaners hatujaelewa mkuu - kwa niaba
Fungua code mkuu.Uki pitia vizurii izi nyuzi zime anza toka January uki ziconnect zina ingia kwenye mfumo kabisa na yanayojiri
Hakika! Hatuelewi watufafanulie ni vizuri tuelewe wotehii miezi mnatupa tabu sana --- hapa sisi slow leaners hatujaelewa mkuu - kwa niaba