Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,642
- 18,643
Na dada akishasema...! Ila mond Daah!Mange Kimambi ameshasema mimba ni vya Diamond
Dada anasubiri reaction ya Zari kama mtoto atazaliwaNa dada akishasema...! Ila mond Daah!
Hahaha dahHance mwenyewe ni jamii ya kaoge hana ujanja huo
Who is Mange Kimambi...?? Huyu mnayemfuatilia anayeishi kama digidigi huko kwa kujikondesha ili aendelee kuzeeka kwa kujiuza kwa wazungu ndiyo amekuwa source of the Information... Hakuna alichokisema cha kweli kwa Diamond kikawa kweli sema ana chuki binafsi tu na Huyu Kijana .....Mange Kimambi ameshasema mimba ni ya Diamond
Kwahyo mange kimambi amekuwa ndio kila kitu kwenu!!!??Mange Kimambi ameshasema mimba ni ya Diamond
...Mapemaaa alisemaga mtoto aliyezaa Hamisa ni wa Daimond....watu wakatoa povuWho is Mange Kimambi...?? Huyu mnayemfuatilia anayeishi kama digidigi huko kwa kujikondesha ili aendelee kuzeeka kwa kujiuza kwa wazungu ndiyo amekuwa source of the Information... Hakuna alichokisema cha kweli kwa Diamond kikawa kweli sema ana chuki binafsi tu na Huyu Kijana .....