FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,516
- 46,604
Tatizo ni islamic culture..
Tatizo ni islamic culture..
Watu tu wajitume kufanya kazi ndo tutaendelea kusini yetu. Hasa Gas ambayo imepatikana Mtwara tusiposhikana mashati kipindi hiki tutabaki hivo hivo.
usikimbie ukweli mkuu, usisifie kitu kwa kuangalia upenzi, Mtwara bado iko nyuma na wala usitishwe na hyo gas iliyopatika huko, embu cheki mfano wa dhahabu na mkoa wa shinyangaSielewi mwansisha mada na wachangiaji wengine wako ulimwengu huu ama ahera...Mtwara unaiweka kundi la mikoa duni ?tena kwa nyakati hizi....Hahahaaaaa, inafurahisha!! Macho na masikio ya serikali yetu hii na dunia nzima yanaelekezwa Mtwara...Ujeuri wa viongozi wengi sasahivi ni kwasababu ya Mtwara... "Mtwara Kuchele"
Tafadhali bwana,kagera mambo super wewe.kila kona ni lami aisee.
ongeza na Mara
Unazungumzia hapo Mtwara mjini? Nenda huko vijijini mkuu huwezi amini kama uko Tanzania.Umasikini unatisha!
Tafadhali bwana,kagera mambo super wewe.kila kona ni lami aisee.
Wananchi walichangishwa kutia lami?
Mkoa wa pwani ni masikini kuliko tunavyofikiri!! Kuna watu hata hawajui kama kuna mkoa unaoitwa pwani, ni masikini wa kila kitu kuanzia rasilimali, uwajibikaji hadi akili, hii mikoa mingine angalau watu wanajitahidi kujituma ila tu hawajapata uongozi bora, watu wa pwani hata uwagawie millioni mia mia watazimalizia kwenye ngoma na ngono tu, huu ndiyo ukweli mchungu.