Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,050
- 12,966
Nani mkuu wa hiyo senta niombe kazi ya kufundisha hisabu na uchumi au hata komasi na bukipingi.
Naahidi kufundisha bure kabisa maana najua hataweza kunilipa mshahara, mshahara wangu utakua hizo teaching incentives, payment in kind..
Mkuu kama unamjua mkuu wa hiyo senta mwambie mwalimu wa bure yupo anataka kujitolea kufundisha, anaweza kufundisha uraia,uhasibu,hisabati,uchumi na geog kuanzia kidato cha kwanza hadi sita bureeeee.
Naahidi kufundisha bure kabisa maana najua hataweza kunilipa mshahara, mshahara wangu utakua hizo teaching incentives, payment in kind..
Mkuu kama unamjua mkuu wa hiyo senta mwambie mwalimu wa bure yupo anataka kujitolea kufundisha, anaweza kufundisha uraia,uhasibu,hisabati,uchumi na geog kuanzia kidato cha kwanza hadi sita bureeeee.