Hii Mapambano Tuition Centre mmhh..!

Hii Mapambano Tuition Centre mmhh..!

Haaahaa! Nakumbuka 2010 nikiwa 6 nilikuja Dar likizo ndo nikaambiwa nitafute tuition, nikapeleka hapo mapambano, babaaa! nilipotoka pale breki ya kwanza ilikuwa bafuni ili nijichuwe. Sikurudi tena, nilisema mimi wa mkoani siyawezi haya.
ulikutana na nini mkuu
 
Joto limeongezeka, ili kupunguza madhara kwa akina dada ndo wanapatia 'advantage' ya kupiga vimini.
 
Hiyo mbona tangia kitambo inajulikana hapo wanaenda wauza sura tu
Wapiga mchimbo kwao mchikichini
 
Hao watoto wanatoka kwa wazazi wao na wamewaacha watoke hivyo, so tatizo sio hiyo tuition tatizo ni wao na wazazi wao
 
Habari za leo wakuu,

Mida flani hivi ya asubuhi bimkubwa aliniomba nikamlipie king'amuzi cha Star times pale Bamaga, basi nikaenda nikalipia fresh.

Wakati wa kurudi nikasema acha nipige andha kanoon (kutembea kwa miguu) hadi Mwenge. Basi nilipofika pale Nakiete building nikashawishika kukata ile kona niende Mapambano kumpa hai ndugu yangu bw. Mussa Biteba.

Ebwana eeeh, hii sio twisheni tena ni kama sehemu ya kabiashara fulani haramu na kituo cha vijana kuuza sura. Nilipishana na mabinti kadhaa eti ndo wanaingia pindi, dressing code nikajikuta kimoyomoyo nasema 'mayo nene nacha', nguo za kuvaa night clubs tena uwe na guarantee ya usafiri binafsi watoto wa kibongo ndo wametinga wanazama kubukua.

Ikabidi nisimame pembeni ni observe, kidogo ndo balaa likatinga, ebwana huyo sister kavaa kimini dzain hata akiangusha kalamu class hawezi okota kabisa, pembeni yuko na sijui ndio boy wake yule kavaa zile suruali wanapenda kuvaa wakongoman zile katikati linakua kama umejinyea hivi linatepweta.

Nikakumbuka enzi zetu za kwa hidden mchikidown, kwa Mbuge.. Nikasema kweli this is new school, I am way too old school (nikakumbuka msemo wa Danny glover kwenye lethal weapon akimwambia Mel Gibson 'am too old for this shit....').
Dah mkuu hapo kwenye andha kanoon umenkumbusha mbal sana enz hizo tunaita hamza kanuni!utoto raha
 
Hao watoto wanatoka kwa wazazi wao na wamewaacha watoke hivyo, so tatizo sio hiyo tuition tatizo ni wao na wazazi wao
Kweli mkuu, but on other hands unakuta wazazi are not aware of their kids dressing code kwasababu wanadamka early in the morning na tuition hua ni kwanzia saa tatu lets say
 
Teh teh hiyo Suruali anakuwa kama vile kajinyea inaitwa Balotel. Halafu hao wanaorudia mitihani na QT wapo kama vile wamelogwa maana upumbavu ule ule uliowafanya wafeli wakiwa full school ndio wanaurudia tena kwa kasi ya ajabu kabisa.
HALAFU WANATEGEMEA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOYAPATA AWALI...
 
Back
Top Bottom