mgangawaukoo
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 2,183
- 2,394
Unakumbukia walivyo sex ? Nauli weka mbali na watoto usije singizia Kuna panya buku ndani !Hahaha, mkuu bwana
Unakumbukia walivyo sex ? Nauli weka mbali na watoto usije singizia Kuna panya buku ndani !Hahaha, mkuu bwana
Unawwza ukajikuta unaanzisha biashara ya matunda pembeniUnakumbukia walivyo sex ? Nauli weka mbali na watoto usije singizia Kuna panya buku ndani !
Leoumekuja lini mjini
Asante mkuu naona ndio unanilipa mshahara every end of the monthUnaonekana bado hauna majukumu na uko analog maana payment zote hufanyika mobile na very easily..... Its either umeamua kuchafua biashara ya watu au umekosa cha kuandika....ungekuwa unawaza mtoto anapataje ada next semester usingeweza ku concentrate na minor issues kama hizo
Toto la mama wewe
Sure mkuu,Tembea uyaone...
Na vocha za kurusha!Unawwza ukajikuta unaanzisha biashara ya matunda pembeni
Hehehe, vocha ndio utawakamata tena mkuu uko very creative sababu za kurusha utakua unasave namba tuNa vocha za kurusha!
Hahaha, free market economy mkuuTulizikosa hiz huduma kona bar na tukizipata hazina vigezo zinasuasua sasa wacha nianguke pale nashukuru wakuu kwa hii info mambo mazur haya.