Hii Logic ipo sahihi..?

Hii Logic ipo sahihi..?

Tunaweka katikati ya miji ili sadaka ziwe nyingi.
 
I am not sure kama ulichosema kama mfano kuhusu Rombo na Old Moshi kama ni sahihi mkuu. Sidhani kama Moshi Mjini ilipitwa kimaendeleo na Rombo na Old Moshi. Mimi nimefika kote huko lakini kwa mtizamo wangu nauona Moshi ni mji wa zamani zaidi kuliko Rombo na Old Moshi hata sio mji kamili ni maeneo tu ya kawaida (vijijini). Hapa watanisahihisha wengine (hiyo ni kwa experience yangu maeneo hayo).

Kuna vigezo vingi vinavyo determine location ya mji/jiji (city center). Zipo ishu za hali ya hewa, idadi ya watu, topography n.k. so mkuu nadhani pia hao missionaries wali consider hivyo vitu kabla ya kujenge hayo makanisa.

The most likely reason ni demographics. Isingekuwa rahisi kujenga kanisa kubwa sehemu ambayo pana wakazi wachache. So still naimani kuwa sababu sio kuwa walijua ndio katikati ya mji 'geometrically' bali ni sababu za ki demography na geography.
Umeeleza vizuri.
 
Unajua kuna muda nikikaa nikifikiria mambo ambayo Germany imepitia na conspiracies zao nabaki naogopa, kuna muda nawazaga inawezekana Yesu alikuwa some immortal sumerian amabaye alishinikizwa kukubali mateso na uongozi wa dynasty yake ili aje kuwa long loved and cherished public figure ila nakataa, sometimes nafikiria yawezekana Yesu alikuja in body of Hitler ili kurevenge kwa Judes kwa walichomfanyia ila nakataa, nikifikiria jinsi Germany ilivyoinvolve kwenye long recognized and deadly wars nabaki natetemeka, hizi conspiracies ninazosikia kuhusu artifacts ambazo wajerumani waliziacha baada ya vita ndio naogopa kabisa, mjeruman huyu huyu alimpiga Brazil nguli wa mpira tangu dunia iumbwe goli saba bila huruma kombe la dunia mwaka nimesahau, juzi kati nilikuwa naangalia series moja inaitwa "Dark" imekuwa produced huko huko ina theme ya time travel, jamaa hawaamini katika Mungu kabisa.
Pia kuna conspiracies nyingi tu zilikuwepo wakati wa holocaust huko Germany, huko kuna mambo mazito yawezekana, yawezekana huko kweli kuna wormhole!
Nimewasoma vizuri ila kama vile kuna vitu siwaelewi au nina sababu za kupingana na ninyi.

Kwanza Wajerumani (Germans) na Ukatoliki wapi na wapi?

Ninachojua Wajerumani waliotawala Tanganyika kabla ya Waingereza walianzisha Makanisa ya Lutherans na ni kweli kuwa walijenga makanisa na ofisi KATIKATI ya miji/ majiji lakini kwa wakati huo ilikuwa ni miji midogo sana.

Ndio maana ukienda Dar es salaam, Moshi na Arusha kuna LUTHERAN CENTERS kwa DSM ipo Posta, Kwa Moshi ipo close na Stand Kuu, kwa Arusha ipo close na Clock tower na kwa Mkuu wa mkoa.

Majengo yote hayo imara yalijengwa na Wajerumani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita na bado yanatumika na kuonekana na ubora mkubwa sana.

Makanisa ya Roman Catholic na Lutheran yapo mijini kabisa mifano umeshatoa...kwa Moshi KKKT kanisa kuu lipo close na stand na RC pia pale Kristo Mfalme.

Kwa Arusha KKKT kanisa kuu lipo mjini kabisa karibu na Clock Tower pale Meat King, na la RC yaani St. Theresia pia lipo karibu kabisa na la KKKT, ni makanisa yanayotenganishwa na Mto unaotiririsha maji katikati ya jiji la Arusha tangu enzi.

Kwa Dar es Salaam tazama Azania Front ilipo, tazama St. Joseph RC church Zanzibar lilipo.

Yaani tangu 1861 ndio makanisa yalianza rasmi kushamiri kwa misheni ya Berlin kule Rungwe, Dsm mpaka Lwandai Tanga na Misheni ya LEIPZING ndio ilikuwa Uchagani na ikajenga makanisa, shule na hospitali kama KCMC

Kwa Zanzibar ndio kabisaa Wareno ndio waasisi wa ukatoliki tangu miaka ya 1400 alipokuja Vasco Da Gama kabla ya ujio wa waarabu na walijenga kanisa kubwa sana Mjini kabisa

KUHUSU MAKABURI

Kwa Lutherans kwa kawaida Marehemu anazikwa kichwa kikiangalia Mashariki jua linapochomoza yaani USO wake unatazama jua sio opposite kwahiyo msalaba unakuwa nyuma ya kichwa chake.

Na Makaburi yote ya Walutheri yapo hivyo dunia nzima hata Ujerumani kwenyewe, Sweden, Denmark etc

Kwa Wakatoliki sina uhakika ila najua kuwa Padri na Papa wanazikwa sawasawa na mwelekeo wa mathabahu (Altari)

Ujenzi wa makanisa haya yalizingatia zaidi vitu vya msingi sana katika maisha na hawa Wazungu walikuwa na Maarifa makubwa sana tangu zamani, kwa mfano walizingatia Idadi ya watu na jinsi watakavyoongezeka, accesibility ya barabara, Maji, Nishati ya Umeme n.k

Hata Makanisa, Shule na Mahosipitali waliyojenga mpaka leo hii ni ya standard ya juu kuliko majengo yetu ya karne hii.

Kama kuna swali tunaweza kusaidiana kujibu.
 
Nimewasoma vizuri ila kama vile kuna vitu siwaelewi au nina sababu za kupingana na ninyi.

Kwanza Wajerumani (Germans) na Ukatoliki wapi na wapi?

Ninachojua Wajerumani waliotawala Tanganyika kabla ya Waingereza walianzisha Makanisa ya Lutherans na ni kweli kuwa walijenga makanisa na ofisi KATIKATI ya miji/ majiji lakini kwa wakati huo ilikuwa ni miji midogo sana.

Ndio maana ukienda Dar es salaam, Moshi na Arusha kuna LUTHERAN CENTERS kwa DSM ipo Posta, Kwa Moshi ipo close na Stand Kuu, kwa Arusha ipo close na Clock tower na kwa Mkuu wa mkoa.

Majengo yote hayo imara yalijengwa na Wajerumani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita na bado yanatumika na kuonekana na ubora mkubwa sana.

Makanisa ya Roman Catholic na Lutheran yapo mijini kabisa mifano umeshatoa...kwa Moshi KKKT kanisa kuu lipo close na stand na RC pia pale Kristo Mfalme.

Kwa Arusha KKKT kanisa kuu lipo mjini kabisa karibu na Clock Tower pale Meat King, na la RC yaani St. Theresia pia lipo karibu kabisa na la KKKT, ni makanisa yanayotenganishwa na Mto unaotiririsha maji katikati ya jiji la Arusha tangu enzi.

Kwa Dar es Salaam tazama Azania Front ilipo, tazama St. Joseph RC church Zanzibar lilipo.

Yaani tangu 1861 ndio makanisa yalianza rasmi kushamiri kwa misheni ya Berlin kule Rungwe, Dsm mpaka Lwandai Tanga na Misheni ya LEIPZING ndio ilikuwa Uchagani na ikajenga makanisa, shule na hospitali kama KCMC

Kwa Zanzibar ndio kabisaa Wareno ndio waasisi wa ukatoliki tangu miaka ya 1400 alipokuja Vasco Da Gama kabla ya ujio wa waarabu na walijenga kanisa kubwa sana Mjini kabisa

KUHUSU MAKABURI

Kwa Lutherans kwa kawaida Marehemu anazikwa kichwa kikiangalia Mashariki jua linapochomoza yaani USO wake unatazama jua sio opposite kwahiyo msalaba unakuwa nyuma ya kichwa chake.

Na Makaburi yote ya Walutheri yapo hivyo dunia nzima hata Ujerumani kwenyewe, Sweden, Denmark etc

Kwa Wakatoliki sina uhakika ila najua kuwa Padri na Papa wanazikwa sawasawa na mwelekeo wa mathabahu (Altari)

Ujenzi wa makanisa haya yalizingatia zaidi vitu vya msingi sana katika maisha na hawa Wazungu walikuwa na Maarifa makubwa sana tangu zamani, kwa mfano walizingatia Idadi ya watu na jinsi watakavyoongezeka, accesibility ya barabara, Maji, Nishati ya Umeme n.k

Hata Makanisa, Shule na Mahosipitali waliyojenga mpaka leo hii ni ya standard ya juu kuliko majengo yetu ya karne hii.

Kama kuna swali tunaweza kusaidiana kujibu.
Sorry braza mimi nilijikita sana na conspiracies za wajerumani sio specifically na subject of the original post! Hayo mambo ya makanisa kujengwa katikati siwez kusema lolote zaidi ya kuona personally nayo kama conspiracy tu!
 
Back
Top Bottom