Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,681
- 106,791
Habari 👋
Wajuzi ningependa kujuzwa zaidi kuhusu hili.
It's a geometry of belief, makanisa ya kikatoliki hasa jimbo kuu la mkoa fulani hua limejengwa katikati ya mji. Yaani sehem inapoonyesa kwamba hapa ndio kati ya mji basi kanisa (Jimbo kuu) linakua limejengwa hapo. Sio kwenye clock tower or anything bali kwenye ile Quadrant inayonyesha kwamba hapa ndio kati.
Nimejaribu kuchunguza kwenye majimbo makuu niliyowahi kuhudhuria nimeona ni kwelii. Mfano, St. Joseph Cathedral Dar es salaam haipo mbali na eneo la Posta, St. Theresa Arusha halipo mbali na city center (Kroko wenyewe wanaita hivo), St Joseph Zanzibar lipo mbele kidogo tu ya Center, jimbo kuu la Shinyanga lipo mjini kati pia nimesahau eneo linaitwaje. Nk nk.
Logic ya kufanya hivyo ilikua kwamba kujenga kanisa katikati ya eneo fulani kunafanya watu wote wawe sawa mbele za Mungu.
Hivyo hivyo altar hujengwa katikati.
So kuprove kama hii theory ni kweli ningependa watu mlio maeneo mbalimbali Tz nk mniambie kama huko pia makanisa makuu ya kikatoliki yapo katikati ya mji. City center... Nachukua data kuhakikisha hii theory.
Head's Up.
Mtu ukifa unazikwa kichwa kikiwa kimeelekea mashariki(East), Kiimani mashariki inamaanisha kuchomoza (Dawn/Rising) so Watu huzikwa wakiwa wameelekea Mashariki jua linapochomoza ili roho za marehe ziweze kupata mwanga wa jua lichomozalo.
It's weird right???? Life is weird too.
Lets keep living ✌️
Wajuzi ningependa kujuzwa zaidi kuhusu hili.
It's a geometry of belief, makanisa ya kikatoliki hasa jimbo kuu la mkoa fulani hua limejengwa katikati ya mji. Yaani sehem inapoonyesa kwamba hapa ndio kati ya mji basi kanisa (Jimbo kuu) linakua limejengwa hapo. Sio kwenye clock tower or anything bali kwenye ile Quadrant inayonyesha kwamba hapa ndio kati.
Nimejaribu kuchunguza kwenye majimbo makuu niliyowahi kuhudhuria nimeona ni kwelii. Mfano, St. Joseph Cathedral Dar es salaam haipo mbali na eneo la Posta, St. Theresa Arusha halipo mbali na city center (Kroko wenyewe wanaita hivo), St Joseph Zanzibar lipo mbele kidogo tu ya Center, jimbo kuu la Shinyanga lipo mjini kati pia nimesahau eneo linaitwaje. Nk nk.
Logic ya kufanya hivyo ilikua kwamba kujenga kanisa katikati ya eneo fulani kunafanya watu wote wawe sawa mbele za Mungu.
Hivyo hivyo altar hujengwa katikati.
So kuprove kama hii theory ni kweli ningependa watu mlio maeneo mbalimbali Tz nk mniambie kama huko pia makanisa makuu ya kikatoliki yapo katikati ya mji. City center... Nachukua data kuhakikisha hii theory.
Head's Up.
Mtu ukifa unazikwa kichwa kikiwa kimeelekea mashariki(East), Kiimani mashariki inamaanisha kuchomoza (Dawn/Rising) so Watu huzikwa wakiwa wameelekea Mashariki jua linapochomoza ili roho za marehe ziweze kupata mwanga wa jua lichomozalo.
It's weird right???? Life is weird too.
Lets keep living ✌️