Hii kodi mpya kwenye huduma ya sim banking imekaaje?

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,351
9,837
Wadau mimi kama walivyo wengi nilipata sms kutoka bank juu ya kodi mpya ya 18% kwa kila muamala.
Nasikia pia ni vivyo hivo kwa miamala ya kwenye mitandao ya sim.
Naomba kujua nitakatwa kiasi gani pale ninapotumia simu yangu ku-deposit au ku-withdraw hela bank?
Maana najitahidi kuichungulia hii plate number ila siielewielewi!!!
 
Wadau mimi kama walivyo wengi nilipata sms kutoka bank juu ya kodi mpya ya 18% kwa kila muamala.
Nasikia pia ni vivyo hivo kwa miamala ya kwenye mitandao ya sim.
Naomba kujua nitakatwa kiasi gani pale ninapotumia simu yangu ku-deposit au ku-withdraw hela bank?
Maana najitahidi kuichungulia hii plate number ila siielewielewi!!!
Hiyo plate number yako ina majipu na hiyo kodi mpya ya Waziri Mpango ina lengo la kukupangua akili. Kodi hiyo inaitwa kodi kupe inanyonya damu yote na kuipeleka kwa Kaizari. Hii ndio kutumbua wadanganyika in action. Mliambiwa mtaisoma namba , mlifikiri wanatania? Kinachofuata ni kuishi kama "malaika".

Link Kodi ya miamala Tigopesa, M-Pesa kuanza rasmi leo

Link2. Maumivu 18% miamala benki
 
Back
Top Bottom