Hii Kluger New Model nimeilewa sana

VXR ni top model ya LC200 series. Unadhani ni sahihi kulinganisha na entry model ya GLS?

Kwenye Calculator ya TRA;

VXR wamewekea CIF ya $72,000 na GLS wameiwekea CIF ya $112,000.

Kodi ya VXR $47,000 na kodi ya GLS ni $73,000.

Kwa mujibu wa tovuti ya toyota.co.za wanaiuza VXR R1,606,600 sawa na $114,034.

Kwa mujibu wa mbusa.com wanauza;

GLS 450 = $77,000.

GLS 580 = $99,000.

GLS AMG 63 = $133,000.

GLS Maybach $160,000.

Na kusema Prado TX ni expensive kuliko GLS unapotosha pakubwa sana. Prado VX.L ambayo ni top model ya Prado Lineup inauzwa $119,000 sawa na Tsh. 279M tena hiyo ni pamoja na kodi.

Na kama unataka kulinganisha top model ya LC200 series na uhakikishe unalinganisha na top model ya GLS na sio uchukue VXR (top model) na GLS 450 (ambayo ni entry model). Sio sahihi.

Majadiliano mazuri ila naona tunatumia source zenye informations tofauti.
Kikokooo cha kodi cha Tra kimekuwa kikilalamikiwa kila mara kwamba hakipo fair kwa baadhi ya items, na mfano mzuri umeuoneshs hapa
Gls huko ulaya ikiwa imelipiwa kodi zote ina thamani ya 77000usd , ila kikokotoo chetu kina sema cif value tu ya Gls ni 112000 usd , hivi tukiendelea na majadiliano katika hali kama hii si tutakuwa tunapotosha watu? Na bahati mbaya kikokotoo chetu hakisemi ni model ipi ya gls , kama ulivyainisha hapo juu.
 
Hiyo thamani ya Prado Tx unauoisema hapo ni pamoja na kodi ujue? Bila kodi Prado Tx inaenda kwa arround $69300.

Hiyo hapo chini ni price list ya Prado toka Toyota Tz. Hizo bei ni pamoja na kodi. Unaenda kuchukua tu.View attachment 1782493
Mkuu kwa mujibu wa records zako ,za Toyota prado Tx ni dola 80000, tax paid , gls ikiwa ulaya tax paid 77000 , na argument yangu ilikuwa gls ni cheap kuliko prado Tx, tunabishana nini?
Hiyo Gls ukitoa kodi ukajumlisha shipping , Cif value yake itapungua , ukija jumlisha na kodi zetu kama kikokotoo kingekuwa fair gls ilitakiwa iwe chini ya Prado Tx. Kwa thamani

Ikikupendeza mkuu naomba uweke hapa bei za Toyota VX r kutoka Toyota Tanzania tumalize mjadala.
 
Tatizo ni Nyumbaro plus lishe duni mkiwa wadogo ndio maana upeo wa kufirki, kuelewa na kung'amua mambo hamna.

Nimesema "in a matter of time". Sasa ambacho hamuelewi nini? Kumbe ndio mana wanaharakati wanapigania watoto wawe wanapata lishe kamili mashuleni.madhara yake ndio haya sasa ukubwani.

Gabbage!

If you MFs ever doubt me....well, believe me this now......kua I'm outta your league!

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hahaha, eti lishe duni wakiwa wadogo. Daah we jamaa ungekuwa umekulia Bongoland wewe
 
Yaani kweli unaweza kushupaza mishipa kwa mtu usiyemfahamu? Jamani hapa ni mtandaoni! Take it easy....folks..

Kitu kikubwa sana ambacho wengi hatutaki kukubali: mawazo na ideas mara nyingi vinaendana na hali yako binafsi ya uchumi!

Back to the point. Nadhani kwa swala la magari kila mtu anaangalia uwezo wake. Kama isingekuwa swala la bajeti hata mimi ningependelea Germany machine. That's me!

Kwenye huu uzi wanaonunua brand new cars ni wachache kama wapo. Wengi tunapambana na mitumba. Ingawa kwa wengine wanaweza, mimi nisingeweza kununua Subaru au rav4 kama nina uwezo wa kumudu BMW...huo ndo ukweli wangu. Maybe wengine mko tofauti.

Uamuzi wa kununua gari ni combination ya vitu vingi. Uchumi ni determinant kubwa. Ofcourse gova inanunua ma L/Cruiser mapya top range kwa sababu.....well you heard! Ni pesa ya umma!

Na let's face it..hizi kelele za mafundi na spare..tunazijua sisi walala hoi. Huwezi kuagiza Mercedes Benz top of the range au VW au BMW..ukawa na mawazo hayo. Kiufupi umeshapita levels ya kufikiria vitu kama hivo......

Akina Masanja ndo utawasikia wakiulizia..gari inakunywa mafuta kiasi gani.....ohhh...gari jini mafuta hiyo.....spares hazipatikani...spares ni ghali nk. Hizo ni story zetu walalahoi. Na uje uchunguze...hata wewe hali yako ya uchumi iki improve kuna mawazo automatically unaachana nayo.

Wengine ngoja tuendelee na mapambano ya Brevis na Majesta! Ila deep down ukweli wengi tunajuana.

Huwezi kuwa na uwezo wa kununua gari ya usd 100,000 ukaulizia unywaji wa mafuta au upatikanaji wa spares....never! Unfortunately hiyo band ni ya waTanzania wachache!
 
Majadiliano mazuri ila naona tunatumia source zenye informations tofauti.
Kikokooo cha kodi cha Tra kimekuwa kikilalamikiwa kila mara kwamba hakipo fair kwa baadhi ya items, na mfano mzuri umeuoneshs hapa
Gls huko ulaya ikiwa imelipiwa kodi zote ina thamani ya 77000usd , ila kikokotoo chetu kina sema cif value tu ya Gls ni 112000 usd , hivi tukiendelea na majadiliano katika hali kama hii si tutakuwa tunapotosha watu? Na bahati mbaya kikokotoo chetu hakisemi ni model ipi ya gls , kama ulivyainisha hapo juu.
Nimekupa source ya pili. Hujaziona?

Kwahiyo website za mbusa.com na toyota.co.tz nao wanauza magari yaliolipiwa kodi tayari?
 
Nimekupa source ya pili. Hujaziona?

Kwahiyo website za mbusa.com na toyota.co.tz nao wanauza magari yaliolipiwa kodi tayari?

Nimekuomba bei za Toyota VXR kutoka toyota Tanzania.
Toyota Tanzania pia ni bonded warehouse kwa hiyo wanawajibika kuuza magari yaliyolipiwa kodi.
 
Mkuu kwa mujibu wa records zako ,za Toyota prado Tx ni dola 80000, tax paid , gls ikiwa ulaya tax paid 77000 , na argument yangu ilikuwa gls ni cheap kuliko prado Tx, tunabishana nini?
Hiyo Gls ukitoa kodi ukajumlisha shipping , Cif value yake itapungua , ukija jumlisha na kodi zetu kama kikokotoo kingekuwa fair gls ilitakiwa iwe chini ya Prado Tx. Kwa thamani

Ikikupendeza mkuu naomba uweke hapa bei za Toyota VX r kutoka Toyota Tanzania tumalize mjadala.
Cha kwanza; Quote ya Toyota VXR itakuja baada ya LC300 kuzinduliwa.

Kwa sasa hawauzi tena. Labda utake special order na watakutafutia kwa dealership nyingine za Toyota kama itakuwepo ila hawatoi tena magari kiwandani. Wewe ndo ulitakiwa ulete hiyo bei sio mimi nikutafutie.

Mbona unalazimisha GLS inauzwa $77,000 pamoja na kodi wakati nimekupa source hapo? Hiyo ni bei ya GLS 450 ambayo entry model ya series za GLS tena bila kodi na bila options. Hakuna benz cheap hivyo duniani.

Nakupa na link kabisa; GLS Large Luxury SUV

Na wewe nioneshe wapi kunauzwa hiyo gls kwa $77,000. Uthibitishe hiyo bei. Tena baada ya kodi.

Used GLS ya 2017 inauzwa $50,000 na ya 2019 inauzwa $61,000 hapo UK.
 
Nimekuomba bei za Toyota VXR kutoka toyota Tanzania.
Toyota Tanzania pia ni bonded warehouse kwa hiyo wanawajibika kuuza magari yaliyolipiwa kodi.
Ukienda kwa dealership unaletewa gari toka kiwandani kodi inakuja kulipwa huku unapochukulia. Ukitaka MSRP bila options unapewa bei zinazowekwa kwenye website yao unless upewe favor ya discount.

Mwaka 2017 kuna GLE 350d imenunuliwa kwa 280M sawa na kama $135,000 tena brand new, tena hii ni entry model ya GLE series. Na ni version ya chini ya GLS.

BTW, Wewe ndo ulisema VXR ni bei kuliko GLS. Ulitakiwa ulete source ya bei yake. Nimefanya homework nikakuta bei huko toyota south africa. Na inauzwa $114,000 kodi yake tra ni $47,000. Jumla $161,000. GLS pamoja na kodi ni $186,000.
 
Cha kwanza; Quote ya Toyota VXR itakuja baada ya LC300 kuzinduliwa.

Kwa sasa hawauzi tena. Labda utake special order na watakutafutia kwa dealership nyingine za Toyota kama itakuwepo ila hawatoi tena magari kiwandani.

Mbona unalazimisha GLS inauzwa $77,000 pamoja na kodi wakati nimekupa source hapo? Hiyo ni bei ya GLS 450 ambayo entry model ya series za GLS tena bila kodi na bila options. Hakuna benz cheap hivyo duniani.

Nakupa na link kabisa; GLS Large Luxury SUV

Na wewe nioneshe wapi kunauzwa hiyo gls kwa $77,000. Uthibitishe hiyo bei. Tena baada ya kodi.

Used GLS ya 2017 inauzwa $50,000 na ya 2019 inauzwa $61,000 hapo UK.

Mkuu hizi quotations za Magari mapya kutoka nchi za nje zote ni tax included. Yaani ni dealership deals.
Hakuna dealer developed countries anaweza quote items halafu ikawa haina kodi ndan yake
Nafikiri umeona hata hiyo quotation ya Toyota uliyoleta ipo full amount with Tax included.
Base price ya gls 450 nin76190usd tax included
 
Ukienda kwa dealership unaletewa gari toka kiwandani kodi inakuja kulipwa huku unapochukulia. Ukitaka MSRP bila options unapewa bei zinazowekwa kwenye website yao unless upewe favor ya discount.

Mwaka 2017 kuna GLE 350d imenunuliwa kwa 280M sawa na kama $135,000 tena brand new, tena hii ni entry model ya GLE series. Na ni version ya chini ya GLS.

BTW, Wewe ndo ulisema VXR ni bei kuliko GLS. Ulitakiwa ulete source ya bei yake. Nimefanya homework nikakuta bei huko toyota south africa. Na inauzwa $114,000 kodi yake tra ni $47,000. Jumla $161,000. GLS pamoja na kodi ni $186,000.

Kama unakiamini kikokotoo cha Tra basi , tunaweza tusielewane
Kuna gari zimepewa value isiyo yake hapo , wewe mwenyewe pale juu ulisema bei ya maybach gls ilikuwa 163000 usd , hapa kwa msaada wa kikokotoo unasema gls hiyo hiyo ni 186000 usd .yani maybach ni ghali zaidi ikiwa Tanzania kuliko ikiwa Ulaya .
 
Nilifuata comment uliosema watu wanakariri German Models ni expensive wakati sio.

Nimekuonesha mifano tu ya German models zilizo expensive kuliko hizo Toyota VXR. And last time i checked, top model ya Toyota Landcruiser ambayo ni VXR inauzwa $120,000. Ukiweka options na makodi ndo inakuja hiyo $180,000 sawa na 400M kama ya yule mkurugenzi wa Geita.
I think to compare gari ya 2020 na gari ya 2021 si sahihi kabisa-Unless tulinganishe GLS ya 2021 na Landcruiser ya 2021(kama ipo) ita make sense
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom