Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,359
- 37,171
Mkuu toa hata poleKujitakia
Mkuu toa hata poleKujitakia
Nimepona kwa Sasa. Nakumbukaa hamu ya pombe ilikataga mwaka MZIMA nikawa alcohol free.Pole sana Dr,
Afuate maelekezo yako
Pumbaf , tuli kuokoa kupoteza Nini 😂😂Mkataba gani nikumbushe mambo ni mengi Sana kaka 😂🤣
Sikupingi mkuu, ndiyo maana mtu aliyevunjia anashauriwa kula vyakula bora ikiwemo nyama.Kwa kuongezea kwenye mifupa ili upone hatakiwi kuvuta SIGARA NA POMBE UTACHELEWA SANA KUPONA KABISA KABISAA.
Cc.
min -me
Monetary doctor
secretarybird
Intelligent businessman
Mwachiluwi
Ndo mlikutana dukani kwa shirima ?
Kaka weekend 😃 NDEEEFUUU Sanaa Ina endeleaa.Naunga mkono hoja
Hahahha mimi mara chache sana naenda bar , mara nyingi nakula vitu vyangu nyumbani tu mkuuKaka weekend 😃 NDEEEFUUU Sanaa Ina endeleaa.
Unajua Jana nilikua sehemu nakunywa jamaa mmoja akaomba offer nikampa AKAJA mwingine maneno mengiiii
Mpaka akawa ananiboa ulevi wa namna hiyo ni hatare Sana Sana Sana SEMA next time IKITOKEA mtu KUANZA kuongea Sana Sanaa wanaboa ndio maana ntaacha kwenda cheap place
Unanifokea 🏃🏃🏃Pumbaf , tuli kuokoa kupoteza Nini 😂😂
Unaweza dhania ni masikhara brother, kufa ni sekundeHii paragraph imenichekesha sana
Kongoroo kwa wingi, supu la dagaa, samaki kwa wingii, ni BAADHI YA vyakula vinavyo saidia.Sikupingi mkuu, ndiyo maana mtu aliyevunjia anashauriwa kula vyakula bora ikiwemo nyama.
Haha😂😂😂😂😁😁😁 ngono kidogo tu hoi, sie wengine ni kama umechajisha betri hivi
Brother gily Mambo vp? Adimu Sana upo powa lakini vipi ? Familia WOTEE hawajambo..Unaweza dhania ni masikhara brother, kufa ni sekunde
Mwachiluwi ana ushuhuda mzuriKwa kuongezea kwenye mifupa ili upone hatakiwi kuvuta SIGARA NA POMBE UTACHELEWA SANA KUPONA KABISA KABISAA.
Cc.
min -me
Monetary doctor
secretarybird
Intelligent businessman
Mwachiluwi
Oya acha tu nimevurugwa kiasi, wife ni mjamzito, na hayuko sawa kivileBrother gily Mambo vp? Adimu Sana upo powa lakini vipi ? Familia WOTEE hawajambo..
Ewah!Kongoroo kwa wingi, supu la dagaa, samaki kwa wingii, ni BAADHI YA vyakula vinavyo saidia.