Hii kitu kama haelewi, nitamueleza.

Hii kitu kama haelewi, nitamueleza.

Kwa kuongezea kwenye mifupa ili upone hatakiwi kuvuta SIGARA NA POMBE UTACHELEWA SANA KUPONA KABISA KABISAA.

Cc.
min -me
Monetary doctor
secretarybird
Intelligent businessman
Mwachiluwi
Kaka usiache na mimi kuwa unanitag maana kuna kadada nimekafuata PM eti kananiuliza mbona unajuana na watu ambao inaonekana ni mashuhuri JF basi nikavimba nikaanza kumpanga kwa vyeo ila ni wewe nimekaambia ni waziri hapa bongo hivyo kunitaja kunanileta karibu na wachuchu .

Mrembo ukipita hapa jua nilikupanga ,ila nimeamua kusema hili kwakuwa ulinikataa panya wewe
 
Kaka usiache na mimi kuwa unanitag maana kuna kadada nimekafuata PM eti kananiuliza mbona unajuana na watu ambao inaonekana ni mashuhuri JF basi nikavimba nikaanza kumpanga kwa vyeo ila ni wewe nimekaambia ni waziri hapa bongo hivyo kunitaja kunanileta karibu na wachuchu .

Mrembo ukipita hapa jua nilikupanga ,ila nimeamua kusema hili kwakuwa ulinikataa panya wewe
Sawa bro ntafanya ivyo Mara kwa Mara.

Noted.
 
Back
Top Bottom