jogijo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 262
- 509
Wapendwa habari, nimeoa na bahati nzuri mke ni mjamzito kwa sasa, tatizo ni kuwa toka kawa mjamzito amekuwa kila akiingia jikoni anatapika, hivo ikabidi nimuweke sub, kidume nikaanza kuingia jikoni, kila nikitoka kazini, sasa hii hali imenipa taabu maana naona wakati mwingine ananiigizia, sisi wasukuma kwetu mwanaume haingii jikoni hata iweje, lakini kwa upendo nimeona nimsaidie maana namuonea huruma kule kutapika kila akiwa jikoni. na wakati mwingine hata mm nikiwa napika na yeye akaja jikoni akitoka basi anaenda kutapika, au ukipika chakula namna ambayo yeye hajapenda atakua ukitoe mezani..
yaani hata nyama akiiona anakwambia toa kanipikie dagaa, asee napata tabu sana, wanaume wenzangu njooni hapa mseme ukweli kwenu hua ikoje hii kitu?
Nimemwambia ajiandae tukamsalimie mama mzazi nyumbani ili nikaone atakavokua akiwa nyumbani akiendelea na tabia hio basi nitaona haniigizii..
thou nikiri nampenda sana na siwez ajiri house girl at this moment na wala akijifungua sitaki house girl kwangu.
yaani hata nyama akiiona anakwambia toa kanipikie dagaa, asee napata tabu sana, wanaume wenzangu njooni hapa mseme ukweli kwenu hua ikoje hii kitu?
Nimemwambia ajiandae tukamsalimie mama mzazi nyumbani ili nikaone atakavokua akiwa nyumbani akiendelea na tabia hio basi nitaona haniigizii..
thou nikiri nampenda sana na siwez ajiri house girl at this moment na wala akijifungua sitaki house girl kwangu.