Rog3rz
Member
- Jun 21, 2012
- 44
- 26
Mkulima amejiwa na mwaandishi wa
magazeti kumuhoji ... kuhusu maisha ya
shambani,na mkulima huyu hawapendi
waandishi wa habari akaona bora
amchoshe katika kujibu maswali,
na mambo yakawa hivi; MWANDISHI: Wewe unawalisha ng'ombe
chakula gani?,
MKULIMA: Ng'ombe yupi Mweupe au
Mwekundu?
MWANDISHI: Ng'ombe mweupe
MKULIMA: Ninamlisha nyasi na viguta vya mahindi,
MWANDISHI: Na mwekundu??
MKULIMA: vilevile nyasi na viguta vya
mahindi,
MWANDISHI: ahaa sawa,na sehemu ya
kulala ni wapi? MKULIMA: Ng'ombe yupi mweupe au
mwekundu?
MWANDISHI: Mweupeee!!!
MKULIMA: Mweupe ninamlaza bomani
kulee,
MWANDISHI: na mwekundu? MKULIMA: vilevile ninamlaza na
mwenziwe!!!!
MWANDISHI: Hii sehemu yote
majumbamengi,Na wakienda
kulisha unafanyaje?
MKULIMA: Yupi mweupe au mwekundu? MWANDISHI: Woooteeee!!!! {kwa hasira}
MKULIMA: Mweupe nina mfunga kambana
kumzungusha
malishoni na kumrudisha,
MWANDISHI: na mwekundu vilevile?
MKULIMA: Mwekundu?,mweku ndu ninamfunga kamba na
kuzunguka nae kama mwenziwe!!!
MWANDISHI: Kwanini kila mara nikikuuliza
huduma
za ng'ombe zako unaniuliza mweupe au
mwekundu halafu inatokea kuwa kazi zao wote ni
sawa?????,
MKULIMA: Kwasababu Ng'ombe mweupe
ni wangu,
MWANDISHI: Na mwekundu?
MKULIMA: Ni wangu vilevile!!!!!! MWANDISHI HOI..!!
magazeti kumuhoji ... kuhusu maisha ya
shambani,na mkulima huyu hawapendi
waandishi wa habari akaona bora
amchoshe katika kujibu maswali,
na mambo yakawa hivi; MWANDISHI: Wewe unawalisha ng'ombe
chakula gani?,
MKULIMA: Ng'ombe yupi Mweupe au
Mwekundu?
MWANDISHI: Ng'ombe mweupe
MKULIMA: Ninamlisha nyasi na viguta vya mahindi,
MWANDISHI: Na mwekundu??
MKULIMA: vilevile nyasi na viguta vya
mahindi,
MWANDISHI: ahaa sawa,na sehemu ya
kulala ni wapi? MKULIMA: Ng'ombe yupi mweupe au
mwekundu?
MWANDISHI: Mweupeee!!!
MKULIMA: Mweupe ninamlaza bomani
kulee,
MWANDISHI: na mwekundu? MKULIMA: vilevile ninamlaza na
mwenziwe!!!!
MWANDISHI: Hii sehemu yote
majumbamengi,Na wakienda
kulisha unafanyaje?
MKULIMA: Yupi mweupe au mwekundu? MWANDISHI: Woooteeee!!!! {kwa hasira}
MKULIMA: Mweupe nina mfunga kambana
kumzungusha
malishoni na kumrudisha,
MWANDISHI: na mwekundu vilevile?
MKULIMA: Mwekundu?,mweku ndu ninamfunga kamba na
kuzunguka nae kama mwenziwe!!!
MWANDISHI: Kwanini kila mara nikikuuliza
huduma
za ng'ombe zako unaniuliza mweupe au
mwekundu halafu inatokea kuwa kazi zao wote ni
sawa?????,
MKULIMA: Kwasababu Ng'ombe mweupe
ni wangu,
MWANDISHI: Na mwekundu?
MKULIMA: Ni wangu vilevile!!!!!! MWANDISHI HOI..!!