Tangu waziri kagasheki ang'atuke kwenye kiti cha uwaziri, naibu wake ameibuka ghafla na kutaka kujionesha kama ndie mtu mwenye dawa ya ugonjwa sugu wa ujangili katika wizara hiyo. Kwa baadhi yetu, tunaona kama spidi hiyo ni gia ya kufukuzia kiti alichoachia boss wake! Lakini swali la msingi ni je, mnofu uliowashinda watangulizi wake karibia 6 yeye ataweza kuumeza?! TAFAKARI!
Akibahatika kuupata nae anatulia. Umesahau kipindi kile baraza jingine likitaka kubadilishwa Mwanri alivyojituma hadi akawa anaingia ndani ya makalvati?... Baada ya uteuzi ulimsikia tena wapi?
Nahisi kapenyeza ngawira kwenye media zinazomripoti daily, mara iringa, kidogo dar, arusha mh! Mbona hizo media haziendi Kiteto ambapo watanzania wanachinjana, vyombo vya usalama vikiwa kimya?
Tangu waziri kagasheki ang'atuke kwenye kiti cha uwaziri, naibu wake ameibuka ghafla na kutaka kujionesha kama ndie mtu mwenye dawa ya ugonjwa sugu wa ujangili katika wizara hiyo. Kwa baadhi yetu, tunaona kama spidi hiyo ni gia ya kufukuzia kiti alichoachia boss wake! Lakini swali la msingi ni je, mnofu uliowashinda watangulizi wake karibia 6 yeye ataweza kuumeza?! TAFAKARI!
Kifupi nakerwa na namna wa bongo wanavyoyachukulia mambo. Sijui lipi bora afanye Mh Nyarando. Ndio maana hawa viongozi hawajali wala kuogopa lolote kwakua wanajua aina ya fikra za Wabongo wachache wapenda kuchalenge vitu bila kuta fakari ili kujiona wamesema tuu na akili zimekalia kila kiongozi hafai hafai. Ukimpekua mtu kidogo yeye mwenyewe hata kusimamia familia yake hawezi. Wanadamu wote siwakamilifu na waadilifu ndani ya makundi ya waovu wapoo. Kila mtu asijifanye ni minzani ya mwenzake bila kujipima na yeye kwanza. Ni kweli Chama Cha Mapinduzi kina aina ya mapungufu yake lkn sidhani kama ndio dhamira ya Sera zake. Kutawla si jambo jepesi kiasi cha kila mtu kudhani anaweza ila kukosoana kwa misingi ni jambo labusara ktk kujenga nchi na sikushika Dola.
Umenena vyemaacha kumtetea maana hata yeye alitakiwa kuondoka maana na yeye ni mmojawapo wa wizara husika. Swali je! Alichukua hatua gani kwa muda wote alioteuliwa hadi hii leo?
Kibaya zaidi anaponda tume ya mh j. Lembeli jamaa namuona kama hana nia jema ila kujitafutia ulaji tu.
kupata vyeo ccm ni kazi rahisi sana . We si umeona geresha ya migiro kushikashika jembe kiuongouongo kule kusini kumempa ubunge ! Wakati kuna wakulima wa ukweli kule MBARALI lakini hawajapewa chochote !
Nyalandu rais mtarajiwa
Nyalandu rais mtarajiwa
Watanzania bwana!! Mtu afanye kazi, kosa; akiwa hashughuliki, ataambiwa mzigo! Heri walioamua kutokuwa wanasiasa!