Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Jamaa mmoja baada ya kuona hapewi haki yake, ikiwa ni baada ya mkewe kujifungua mtoto, akazimia moyoni mwake kumwua yule mtoto ili mapenzi yarudi kama kale. Siku moja asubuhi sana wakati mkewe akiwa amelala akapaka dawa ya kufisha kwenye nyonyo za mkewe na akaondoKa kwenda kazini. Cha ajabu alipo rudi akakuta house boy amekufa na mtoto yu mzima. Source. Tanzania daima.