Hii kali!! Mahari 7.2million... Nitaweza Kweli?

Hii kali!! Mahari 7.2million... Nitaweza Kweli?

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,309
Reaction score
17,843
Haoo!
Break hadi ukweni, mshenga na wazazi,

Wanazama kwa mtarajiwa wangu shansarie.

Wanasomewa taratibu za kufuata!

Hapo kila kitu kinapigwa kwa hesabu
thamani inagota 7.2million ili nipewe mke....

Aisee Ndoto hii sijaielewa!
Inamaana gani?
 
Last edited by a moderator:
Haoo!
Break hadi ukweni, mshenga na wazazi,

Wanazama kwa mtarajiwa wangu shansarie.

Wanasomewa taratibu za kufuata!

Hapo kila kitu kinapigwa kwa hesabu
thamani inagota 7.2million ili nipewe mke....

Aisee Ndoto hii sijaielewa!
Inamaana gani?

Mbona hizo kidogo
 
Last edited by a moderator:
Ndg yangu , kwakua Srade yako ya kuumwa bado iko valid either active , still yet wadau wanaendelea kukupa pole , na hapa unazungumzia ndoto , nachelea kusema huenda ikawa cellebrol maleria imekimbilia kichwani !
So far hayo yatakua mauzauza.
 
Judgement, ni bora yaendelee kuwa mauza uza..
ila mi naona ni vyema kama bride price ikawa abolished kabisa!!
sometimes zinaunguza kichwa sana..
 
Last edited by a moderator:
Judgement, ni bora yaendelee kuwa mauza uza..
ila mi naona ni vyema kama bride price ikawa abolished kabisa!!
sometimes zinaunguza kichwa sana..

We should rather look at the ordinance and expensive weddings that heap unnecessary debts on the new young couples.
To abolish kabisa! Ni kazi ya ziada is an extraordinary issue! kiwatengu!
Kumbuka mwanaume we must make some special highly valuables gift , such as money , animals, minerals etcetera to our future wife's family.
 
Last edited by a moderator:
Ndg yangu , kwakua Srade yako ya kuumwa bado iko valid either active , still yet wadau wanaendelea kukupa pole , na hapa unazungumzia ndoto , nachelea kusema huenda ikawa cellebrol maleria imekimbilia kichwani !
So far hayo yatakua mauzauza.

hili jibu lako nimekupenda bure i was just thinking the same haiwezekani akaota ndoto kubwa hivo malaria otakuwa haijaisha na jasho lilimtoka jingi sana wakati wa ndoto hiyo
 
Mkuu acha kabisa biashara ya kununua binadamu la sivyo mkono wa sheria utakukamata.




















































Nimemaliza!
 
Ndg yangu , kwakua Srade yako ya kuumwa bado iko valid either active , still yet wadau wanaendelea kukupa pole , na hapa unazungumzia ndoto , nachelea kusema huenda ikawa cellebrol maleria imekimbilia kichwani !
So far hayo yatakua mauzauza.


kwi! kwi! Kwi!
 
Haoo!
Break hadi ukweni, mshenga na wazazi,

Wanazama kwa mtarajiwa wangu shansarie.

Wanasomewa taratibu za kufuata!

Hapo kila kitu kinapigwa kwa hesabu
thamani inagota 7.2million ili nipewe mke....

Aisee Ndoto hii sijaielewa!
Inamaana gani?

Tufanye collabo...!
 
Last edited by a moderator:
Haoo!
Break hadi ukweni, mshenga na wazazi,

Wanazama kwa mtarajiwa wangu shansarie.

Wanasomewa taratibu za kufuata!

Hapo kila kitu kinapigwa kwa hesabu
thamani inagota 7.2million ili nipewe mke....

Aisee Ndoto hii sijaielewa!
Inamaana gani?

Una raha wewe... kumbe shansarie Cheap hivyo.. Mi mwenzenu kwa kina Mama v walikuwa very brief, short and clear, walinambia niwajengee sheli na kuwanunulia boti mbili za abiria ziwekwe Ziwa Tanganyika... Nikatoa picha kwanza nikamchukua wife hadi leo hakuna sheli wala mtumbwi na ndo tushapata na wajukuu tayari..
 
Last edited by a moderator:
thats better
upone kwanza hiyo mahari utafikiria baadae
bado wangu! nameza moja moja sasa.. asubuhi na jioni.
ila afya imeimarika sana!
sikii tena maumivu yoyote!!
thank you dear
 
Back
Top Bottom