mamitod
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 914
- 382
Kama bearingi ya taili la mkokoteni" Nimecheka nusu nianguke. Mna maneno jmn lol!!!!!!Hii "Jeki" iliyopigwa na Kajala ni babu kubwaaaa....Hii ilipigwa siku ya uzinduzi wa filamu yake mpya.
Hakika wadada wa Dsm mambo yao ni motomotoooooooo.....Hivi hii kitu ya kubenjua hizi nyonyo kama beringi ya taili la mkokoteni ina maana gani?Kweli Dsm ina wenyewe!!View attachment 367225