Hii Jambo limekaaje

Hii Jambo limekaaje

Saad30

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2020
Posts
3,166
Reaction score
6,175
Habari wakuu wa kuwazuka.

Unakaa sehemu au mawazo yakujia kichwani juu ya Jambo Fulani liwe Baya au Zuri kwamba linatoke au umekaa unasema MTU Fulani anakuja au upo na simu yako Kuna mambo unatazama ghafla linakuja wazo MTU Fulani atapiga simu Sasa hivi baada ya dakika 3 au 5 kweli MTU Yule anakupigia simu.

Hii kitu inaitwajwe maana binafsi nakuwaga nayo.

Msiseme mambo ya majini hapa 😂
 
Habari wakuu wa kuwazuka.

Unakaa sehemu au mawazo yakujia kichwani juu ya Jambo Fulani liwe Baya au Zuri kwamba linatoke au umekaa unasema MTU Fulani anakuja au upo na simu yako Kuna mambo unatazama ghafla linakuja wazo MTU Fulani atapiga simu Sasa hivi baada ya dakika 3 au 5 kweli MTU Yule anakupigia simu.

Hii kitu inaitwajwe maana binafsi nakuwaga nayo.

Msiseme mambo ya majini hapa 😂
Mfatilie carl jung anaelezea hii kitu inaitwa "synchronicity"
Ila mi naona huwa ni bahati tu, kwa kuwa ni mara nyingi mno umemfikiria mtu na hakutokea wala kukupigia ila ikitokea ikawa hivyo ubongo huwa unaweka lile tukio kama la umuhimu na yale mengine uliyokosa ubongo huwa unafuta hzo kumbukumbu kama hazina umuhimu au maana, hivyo moja kwa moja tunatengeneza maana kwamba hili tukio ni la ajabu kwetu
 
Nilienda kwamsisi huko Handeni..nawaandalia wagombea wa 2030 kupita bila kupingwa..
Ni Kuku na mbuzi tu wamejaa banda....

Wasije kujua nitanyakuliwa
Aaah! Wapi wape matumaini tu kuwajaza upepo, siku zikikalibia waambie wakalete meno ya mjusi na mifupa ya sisimizi na wasipoleta mizimu itawaazibu kwa kuipotezea muda waongeze sadaka kuituliza.
 
Habari wakuu wa kuwazuka.

Unakaa sehemu au mawazo yakujia kichwani juu ya Jambo Fulani liwe Baya au Zuri kwamba linatoke au umekaa unasema MTU Fulani anakuja au upo na simu yako Kuna mambo unatazama ghafla linakuja wazo MTU Fulani atapiga simu Sasa hivi baada ya dakika 3 au 5 kweli MTU Yule anakupigia simu.

Hii kitu inaitwajwe maana binafsi nakuwaga nayo.

Msiseme mambo ya majini hapa 😂
Hiyo ni Intuition mkuu, "Intuition is the perception of or reaction to information in any form which either bypasses the rational and logical mind, giving immediate insight or knowledge not directly associated with or mediated by the usual five physical senses.

Wenzetu wazungu wanaamini ni kitu ambacho kila binaadamu anacho na ndio maana unaweza ukakuza huo uwezo wako wa intuition ukaweza kuwa na uwezo wa kupata information unazohitaji yani intuition on demand, tofauti na wewe hapo intuition yako haipo katika mpangilio wala udhibiti na pengine hutokea kwa mara chache.

Sisi huku mara nyingi huwa tunahusisha sana jambo hilo na majini ila wenzetu source ya intuition kwanza huhusisha na uwezo wetu wa ndani subconcious mind na nje yetu hapo ndio inaweza kuwa Mungu, viumbe visivyoonekana, na mengineo.
 
Hiyo ni Intuition mkuu, "Intuition is the perception of or reaction to information in any form which either bypasses the rational and logical mind, giving immediate insight or knowledge not directly associated with or mediated by the usual five physical senses.

Wenzetu wazungu wanaamini ni kitu ambacho kila binaadamu anacho na ndio maana unaweza ukakuza huo uwezo wako wa intuition ukaweza kuwa na uwezo wa kupata information unazohitaji yani intuition on demand, tofauti na wewe hapo intuition yako haipo katika mpangilio wala udhibiti na pengine hutokea kwa mara chache.

Sisi huku mara nyingi huwa tunahusisha sana jambo hilo na majini ila wenzetu source ya intuition kwanza huhusisha na uwezo wetu wa ndani subconcious mind na nje yetu hapo ndio inaweza kuwa Mungu, viumbe visivyoonekana, na mengineo.
Nini kifanyike ili iwe fresh?
 
Back
Top Bottom