Ipananga kulwa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 573
- 290
Nyie wahinda na wachana acheni kunyanya wenzenu ,,,Wahindi na Wachina wamewaharibu watu wetu kwa kuwanyonya sana to the extent sasa watu wanaona elfu 18 kwa siku ni nyingi sana kwa ''watu wenye elimu ya kawaida''. Kiuhalisia hii ni pesa kiduchu. Hata kama wanafanya na Jumamosi, hii haifiki hataTshs. 450,000 kwa mwezi.