Field Marshal
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 414
- 280
- Thread starter
- #21
Namaanisha yawezekana asijue lugha yoyote kwasababu hakupata muda wakuijua.Hajui kuongea kivipi..lugha ya asili au lugha ya kiswahili?
Namaanisha yawezekana asijue lugha yoyote kwasababu hakupata muda wakuijua.Hajui kuongea kivipi..lugha ya asili au lugha ya kiswahili?
Mtoto mpaka anaona kizunguzungu.heee.ha ha ha ha...atakua mtoto wa experiment
Siyo tu kuwa hatajua kusema ila hatajua chochote(growth restrictions) kwa sababu hatazoea chochote/yeyote,hatakuwa na furaha na atakata tamaa kujifunza. Hata watu atawaogopa na kuwachukia. Ushahidi ni pale unapobadilsha mlezi wa mtoto.Habari wakuu,
Mvurugo wangu ni huu hapa...Hivi mfano ikatokea mtoto amefikisha umri wa mwaka mmoja toka kuzaliwa eneo fulani labda tuseme Dar (Ubungo) kisha ukamuamisha ukampeleka Mara(Majita) ndani ndani huko ambapo lugha wanayozungumza ni tofauti na ile ya Dar,nako huko akae mwaka mmoja.Baada ya hapo unamuamisha unampeleka Mbeya(Umalila) ndani ndani kabisa ambapo wanazungumza lugha yao nako huko akae mwaka mmoja.Baadae unampeleka Arusha(Umasaini) alafu akae miezi mitatu alafu unampeleka Dodoma(ndani ndani huko) n.k...
Je,kwa mvurugo huo mtoto anaweza kufika miaka 7 au zaidi hajui kuongea kwa sababu ya kumuhamishahamisha?
Mkuu siku hizi unachelewa.Hajui kuongea kivipi..lugha ya asili au lugha ya kiswahili?
lakini kiswahili hawezi kuacha kuongeaNamaanisha yawezekana asijue lugha yoyote kwasababu hakupata muda wakuijua.
worry out bro..kawaida tuMkuu siku hizi unachelewa.
vipi kama kila anapotoka eneo moja hadi lingine anakua na mlezi mpya tofauti?Huyo mtoto anasafiri na wazazi wake obviously wanaozungumza lugha moja, na huyo mtoto hatoki sana ndani kwa sababu ni mdogo, hivyo haina athari kwenye lugha maana atajifunza lugha ya baba na mama.