Hii inaweza kumfanya mtoto ashindwe kuongea?

Field Marshal

JF-Expert Member
Apr 5, 2014
414
280
Habari wakuu,
Mvurugo wangu ni huu hapa...Hivi mfano ikatokea mtoto amefikisha umri wa mwaka mmoja toka kuzaliwa eneo fulani labda tuseme Dar (Ubungo) kisha ukamuamisha ukampeleka Mara(Majita) ndani ndani huko ambapo lugha wanayozungumza ni tofauti na ile ya Dar,nako huko akae mwaka mmoja.

Baada ya hapo unamuamisha unampeleka Mbeya(Umalila) ndani ndani kabisa ambapo wanazungumza lugha yao nako huko akae mwaka mmoja.

Baadae unampeleka Arusha(Umasaini) alafu akae miezi mitatu alafu unampeleka Dodoma(ndani ndani huko) n.k...
Je, kwa mvurugo huo mtoto anaweza kufika miaka 7 au zaidi hajui kuongea kwa sababu ya kumuhamishahamisha?
 
Habari wakuu,
Mvurugo wangu ni huu hapa...Hivi mfano ikatokea mtoto amefikisha umri wa mwaka mmoja toka kuzaliwa eneo fulani labda tuseme Dar (Ubungo) kisha ukamuamisha ukampeleka Mara(Majita) ndani ndani huko ambapo lugha wanayozungumza ni tofauti na ile ya Dar,nako huko akae mwaka mmoja.Baada ya hapo unamuamisha unampeleka Mbeya(Umalila) ndani ndani kabisa ambapo wanazungumza lugha yao nako huko akae mwaka mmoja.Baadae unampeleka Arusha(Umasaini) alafu akae miezi mitatu alafu unampeleka Dodoma(ndani ndani huko) n.k...
Je,kwa mvurugo huo mtoto anaweza kufika miaka 7 au zaidi hajui kuongea kwa sababu ya kumuhamishahamisha?

Haiwezekani mkuu...possibility ni kwamba atakuwa anafahamu lugha za maeneo hayo aliyokaa. Mtoto anaanza kujifunza lugha na kuongea akifika miezi 18 hadi 24
 
Ndio, hiyo itakuwa sababu tosha ya kumfanya mtoto achelewe kuongea. Kwa sababu anakuwa hajakaa mazingira ya kuweza ku adopt lugha kwa muda mfupi. So, hiyo hama hama within a short time mtoto atapata wakati mgumu kujifunza na kujua anajifunza nini.
 
Kwanza lazima ataijua lugha ambayo mnaitumia nyinyi wazazi mnaomlea. Then hizo lugha nyingine anaweza kujua baadhi ya maneno.
 
Haiwezekani mkuu...possibility ni kwamba atakuwa anafahamu lugha za maeneo hayo aliyokaa. Mtoto anaanza kujifunza lugha na kuongea akifika miezi 18 hadi 24
vipi kila baada ya mwezi unampeleka sehemu nyingine toka kuzaliwa kwa mfululizo hadi anafikisha miaka 5,na kila eneo hakai na mtu ambaye anaelewa lugha ya eneo lolote alipowahi kukaa.
 
vipi kila baada ya mwezi unampeleka sehemu nyingine toka kuzaliwa kwa mfululizo hadi anafikisha miaka 5,na kila eneo hakai na mtu ambaye anaelewa lugha ya eneo lolote alipowahi kukaa.
Kuzunguka zunguka na mtoto haimaanishi atashindwa kujua lugha. Mtoto anajifunza lugha kutoka kwa mzazi... Ukiwa unaongea nae mara kwa mara eventually atajua lugha same applies huko anakokwenda na watu anaochangamana nao.

Halafu hili swali lako halina uhalisia...how come mtoto anabadilisha mazingira kila mwezi kwa miaka mitano.

(1x12x5) = 60

In 5 year, huyo mtoto atakuwa ameishi in 60 different locations....
 
Kuzunguka zunguka na mtoto haimaanishi atashindwa kujua lugha. Mtoto anajifunza lugha kutoka kwa mzazi... Ukiwa unaongea nae mara kwa mara eventually atajua lugha same applies huko anakokwenda na watu anaochangamana nao.

Halafu hili swali lako halina uhalisia...how come mtoto anabadilisha mazingira kila mwezi kwa miaka mitano.

(1x12x5) = 60

In 5 year, huyo mtoto atakuwa ameishi in 60 different locations....
Hakuna kinachoshindikana ni maamuzi tuh...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom