Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,494
Hahaha hahahaNaona tangu mapigo yako ya moyo yalivyosikilizwa ukasahau kabisa kuwa ulikuwa lindo.
Ngoja nilale kidogo Mkuu, nina usingizi wa hela yote
Hahaha hahahaNaona tangu mapigo yako ya moyo yalivyosikilizwa ukasahau kabisa kuwa ulikuwa lindo.
Sasa kwa nini hadi wa umri huo?
Aisee kumbe...nikajua kwa sababu sisi tumezeeka kwa hiyo tunaihitaji hiyo hudumaNdio wana nyama za kutosha kukandwa kandwa...
kuna mahali wana mgonjwa wa akili anahitajika mtu wa kumtunza,huko utakanda mpk mandazi utaka.
Nahisi hujui kumuapproach mwanamke lol
Aisee kumbe...nikajua kwa sababu sisi tumezeeka kwa hiyo tunaihitaji hiyo huduma
Huna akiliMimi ni kijana (29) ni mwanaume
Napenda sana kazi ya kumfanyia mwanamke massage kama kazi. Kwa sasa nahitaji mazoezi ya mara Kwa mara hivyo ningepata hata mtu mmoja tu wa kike niwe namfanyia bure ila kila kitu ni juu yake. Hata baada ya kupata uzoefu nitaendelea kumfanyia bure. Namba yangu Hii hapa WhatsApp ndio poa zaidi +255 710439700 Thanks.
HahahaKalime wewe au kamwage zege. Acha kazi za kike hizo.
Mtoto wa kiume unapenda kazi laini.