Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,814
- 40,572
Nimeota ndoto mbaya. Na usingizi umekata kabisa baada ya kushtuka.
Kibaruani huku handsome!
Vipi wewe mbona hulali
Kibaruani huku handsome!
Vipi wewe mbona hulali
Hapana Mkuu, hizo mambo hapana aiseeeChangamkia fursa ya Massage ya bure
Kumbe ushalala ukaamka!Nimeota ndoto mbaya. Na usingizi umekata kabisa baada ya kushtuka.
Kumbe ushalala ukaamka!
Lala basi handsome, niko hapa nakubembeleza mimiNdio mpendwa
Lala basi handsome, niko hapa nakubembeleza mimi
Mgonjwa hatak anataka mwenye akili timamu tena mrembokuna mahali wana mgonjwa wa akili anahitajika mtu wa kumtunza,huko utakanda mpk mandazi utaka.
EwaaaaaSogea karibu basi mpnz... Niskie mapigo ya moyo wako.
We mwanamke hulali? Hivi huko tz ni saa ngp saivKumbe ndo wewe uliyetoroka mirembe? Hebu rudi jamani madaktari wanahangaika kukutafuta huku.
Wewe una uhakika gani kuwa mimi nipo Tanzania?We mwanamke hulali? Hivi huko tz ni saa ngp saiv
Maana huku Denmark pako kama mchana watu tunakula vitu vyetu hapa
🤔Wewe una uhakika gani kuwa mimi nipo Tanzania?
Saivi wafanye jkt iwe ni lazima vijana wote waende kwanza huko kwanza kupunguza haya mawazo ya ajabu ajabu.Kalime wewe au kamwage zege. Acha kazi za kike hizo.
Mtoto wa kiume unapenda kazi laini.
Sasa jamani mtu ukiwepo Tanzania watu wanauliza na wkt vumbi miguuni linaonekana.[emoji16][emoji16][emoji16]Wewe una uhakika gani kuwa mimi nipo Tanzania?
[emoji848]
Sasa jamani mtu ukiwepo Tanzania watu wanauliza na wkt vumbi miguuni linaonekana.[emoji16][emoji16][emoji16]
Ewaaaaa
Niko hapa mimi jamani