Hii inaruhusiwa?

Hii inaruhusiwa?

Bibie huoni Mke wa Tony alivyovaa?hebu siku jaribu kualikwa sehemu hiyo na uvae hivyo uone hata kama utanusa geti la hilo kasri!

Ajaribu Iran au Saudia aone kama hata Airport atapata clearance !
 
Ikulu imekuwa mahali pa wanyang'anyi..... Tumuombe Mungu atunusuru na majanga yanayo endelea hivi sasa.... Ombwe la Uongozi. Wacheza kiduku nao wamo.
 
Cherie Blair a British Lady in BongoLand, hao wametumwa na Kagame
 
Mbona kavaa ki heshima tu, au hizo rangi za hiyo nguo ndio zimekushtuwa?

Ukilinganisha na uchafu unaofanywa hapo ikulu na kikwete ni dhahiri vazi hili ni la heshima kabisa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ukilinganisha na uchafu unaofanywa hapo ikulu na kikwete ni dhahiri vazi hili ni la heshima kabisa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Vipi pale Mbowe? na vipi pale Keys? yanayofanyika ni masafi? na vipi Mzee wa Kanisa anayofanya ni masafi?
 
Kwa hiyo alitakiwa aweke kanga begani?
 
Nani aliyemwalika mwenzake.Maana lazima ukubaliane na utaratibu wa huyo uliyemwomba aje au uende.
 
Ona wakwetu anavyo vaa anavutia kwa kweli wala huoni ukakasi kumtizama! yakwetu.PNG
 
Back
Top Bottom