Sijui kama hivi ndivyo ulivyotaka kumaanisha kwamba mtu anakua target ya watu kibao na wanamfuatilia.Wapo watu ambao kwakweli ni wazuri wanavutia na wao wanajua kuwa wameumbika na mara nyingi watu wa aina hii wanakubwa na tatizo la kujua ni yupi anakupenda kweli na yupi anatamani tu.wengi wao huchanganyikiwa na wakati mwingine wanaamua kuwa free na mahusiano kwa muda
Wandugu wapendwa,natumai mko sawa popote pale mlipo.
Nina swali moja tu fupi.
Hivi inawezekana mtu akaacha kumpenda mpenziwe eti kisa kachanganyikiwa kutokana na kutakwa kimapenzi na viumbe vya jinsia nyingine?inawezekana mtu akachanganyikiwa asijue la kufanya na mahusiano yake kisa anakuwa seduced mara kwa mara?
Nawakilisha
nataka kuchangia mada lakini mbado kuelewa. naomba unipigie pasi kidogo sweetdada mtam.
nataka kuchangia mada lakini mbado kuelewa. naomba unipigie pasi kidogo sweetdada mtam.
huyo mdada hana adabu hata za kuchemshia maji ya chai. nyambaaf!yani ni hivi..mwanadada kamwambia mpenziwe hampendi kisa amechanganyikiwa..mpenzi kuuliza umechanganyikiwa nini?mwanadada kujibu kila kukicha mie natakwa tuuu mpaka sijui nani mkweli nani muongo,hata sijui maana ya kupenda ni nini,yani hapa nilipo nimechanganyikiwa sijui hata kama unanipenda au la!!
swali ni kwamba.je inawezekana eti kisa unatakwa ndo uchanganyikiwe useme humpendi mpenzi wako?
kamanda hiki ni kimeo, hii excuse yake hata google haipatikani. kamenitia hasira kweli haka kadada kama haka ka laptop sio ka kuazima ningekavunjilia mbali kwa hasiraAah kamanda mwenyewe,mbona mapema leo,kuna sista anadai hawezi endelea na mahusiano kwakuwa yuko kwenye high demand kwenye soko hahaha!
Hahaha! kuna wadada huwa siwaelewi unamuacha mtu ana kazi nzuri tu na anataka kukuoa unaenda kwa mzee wa 65+ kuwa small hausi u kanti bilivu yaani.kamanda hiki ni kimeo, hii excuse yake hata google haipatikani. kamenitia hasira kweli haka kadada kama haka ka laptop sio ka kuazima ningekavunjilia mbali kwa hasira
kuna baadhi ya wadada kisayansi tunawaita antiklockwise, yaani yeye akiwa na mfalme atatamani mtumwa, akiwa na mchezaji wa basketi atatamani kuwa na wa rugby, akiwa na mwanasiasa atatamani kuwa na mwanafilosofia. manzi kama huyu kama haujapata kisukari ndani ya mwaka mmoja itakuwa ni muujiza tosha kuthibitisha uwepo wa mungu.Hahaha! kuna wadada huwa siwaelewi unamuacha mtu ana kazi nzuri tu na anataka kukuoa unaenda kwa mzee wa 65+ kuwa small hausi u kanti bilivu yaani.
Ankal @ workkuna baadhi ya wadada kisayansi tunawaita antiklockwise, yaani yeye akiwa na mfalme atatamani mtumwa, akiwa na mchezaji wa basketi atatamani kuwa na wa rugby, akiwa na mwanasiasa atatamani kuwa na mwanafilosofia. manzi kama huyu kama haujapata kisukari ndani ya mwaka mmoja itakuwa ni muujiza tosha kuthibitisha uwepo wa mungu.
kuna baadhi ya wadada kisayansi tunawaita antiklockwise, yaani yeye akiwa na mfalme atatamani mtumwa, akiwa na mchezaji wa basketi atatamani kuwa na wa rugby, akiwa na mwanasiasa atatamani kuwa na mwanafilosofia. manzi kama huyu kama haujapata kisukari ndani ya mwaka mmoja itakuwa ni muujiza tosha kuthibitisha uwepo wa mungu.
Dah!!! Kumbe mtu ukitakwa na watu wengi unachanganyikiwa sijui siku akitokewana Yesu itakuwaje maana anaweza kufa kabisa huyu.Hahaha! kuna wadada huwa siwaelewi unamuacha mtu ana kazi nzuri tu na anataka kukuoa unaenda kwa mzee wa 65+ kuwa small hausi u kanti bilivu yaani.