Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,318
- 688
ulimbukeni
...I hope sound itakuwa imewekwa mute kuruhusu mazungumzo tusi-judge mambo kwa mtazamo wa kurudi nyuma..:drum:
Sasa kuna umuhimu gani wa kuweka mute, hakuna anayeangalia na TV bado inaendelea kulamba energy. Sina hakika kama hiyo TV ni Energy Saver.
Du mi nimependa hiyo sketi alievaa huyo sister kwenye picha ya pili i mean nimevutiwa nayo.Mkuu,
Inawezekana kweli ikawa vitu vidogo kwako but remember hiyo bill nani analipa? Kodi yangu inalipa huo umeme.
Wafanyabiashara wakubwa wanasamehewa kodi, mie natembea kutoka Gongo la Mboto hadi Upanga kuuza tray moja ya mayai na bado natozwa kodi. Na hiyo ndiyo inalipa bills za serikali. So, this is a big deall to me.
Du mi nimependa hiyo sketi alievaa huyo sister kwenye picha ya pili i mean nimevutiwa nayo.
CCTV camera
Jamani, wabongo bado tuna maumivu na mgao wa umeme, matumizi mabaya ya serikali yetu....lakini hapa naibu waziri viwanda na biashara anaendelea na mazungumzo na wageni wake huku TV nayo ikiwa busy.
Wengine wanaweza kusema nina wivu but come on....hakuna mtu anayesikiliza wala kuangalia TV, sasa kuna umuhimu gani wa hiyo TV kuwa ON? Jamani hii inakubalika?
Picha zajieleza......
![]()
![]()
Mkuu,
Inawezekana kweli ikawa vitu vidogo kwako but remember hiyo bill nani analipa? Kodi yangu inalipa huo umeme.
Wafanyabiashara wakubwa wanasamehewa kodi, mie natembea kutoka Gongo la Mboto hadi Upanga kuuza tray moja ya mayai na bado natozwa kodi. Na hiyo ndiyo inalipa bills za serikali. So, this is a big deal to me.
Yeah kwa kweli huu si ustaarabu hata kidogo. Maana concentration haipo tena na inaonekana yanaonyeshwa mambo ya janga la Japan ambako kila mtu angetamani kujua nini kinaendelea huko.
By the way nimevutiwa na hilo sofa, hivi hii ni product ya hapa TZ au mpaka uiangize nje? Kama inapatikana hapa TZ naweza kuipata wapi na kwa bei gani?