Hii inakubalika?

Hii inakubalika?

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
Jamani, wabongo bado tuna maumivu na mgao wa umeme, matumizi mabaya ya serikali yetu....lakini hapa naibu waziri viwanda na biashara anaendelea na mazungumzo na wageni wake huku TV nayo ikiwa busy.
Wengine wanaweza kusema nina wivu but come on....hakuna mtu anayesikiliza wala kuangalia TV, sasa kuna umuhimu gani wa hiyo TV kuwa ON? Jamani hii inakubalika?
Picha zajieleza......

Unido%2BII.JPG


Unido%2BI.JPG
 
Nadhani ni "cultural constraints" za Watanzania..

Kuna jirani yangu hajawahi kuzima "security lights" for the past 5 years! Huwa zinawaka 24/7 - mgao wa umeme ndiyo umemsaidia!
 
Nadhani ni "cultural constraints" za Watanzania..

Kuna jirani yangu hajawahi kuzima "security lights" for the past 5 years! Huwa zinawaka 24/7 - mgao wa umeme ndiyo umemsaidia!

Mpe pole, ungemshauri aweke timer.
 
Ni kukosa busara na ulimbukeni, kwanza kwa utaratibu ukiwa na wageni au mnapiga stori tv inapaswa kuwa off labda kama umekosa la kuongea ndo uiwashe!
 
Ni kukosa busara na ulimbukeni, kwanza kwa utaratibu ukiwa na wageni au mnapiga stori tv inapaswa kuwa off labda kama umekosa la kuongea ndo uiwashe!
...I hope sound itakuwa imewekwa mute kuruhusu mazungumzo tusi-judge mambo kwa mtazamo wa kurudi nyuma..:drum:
 
Nitakwambia kuwa wanajadili mambo rahisi na mengine yakihusisha kinachoendelea katika luninga. Huwezi kuniaminisha kuwa hapa mh. huyu wanajadili mambo yanayohusiana na majukumu yao, umakinin hautokuwepo pale (hata kama sauti iko 0 au mute) itakapoonekana picha yenye kuvuta macho, picha huvuta na huwa na tafsiri zaidi kuliko maneno.

Ushamba tu:smash:
 
Ni kukosa busara na ulimbukeni, kwanza kwa utaratibu ukiwa na wageni au mnapiga stori tv inapaswa kuwa off labda kama umekosa la kuongea ndo uiwashe!

Mkuu nakubaliana na wewe kwa asilimia 100. Huo ndiyo utamaduni wetu lakini hata hivyo bado haijaniingia kichwani kabisa why that to happen hata kama angekuwa Mnyarwanda.
 
Ni kukosa busara na ulimbukeni, kwanza kwa utaratibu ukiwa na wageni au mnapiga stori tv inapaswa kuwa off labda kama umekosa la kuongea ndo uiwashe!

Haswa na inaonyesha uko serious na mazungumzo na unamueshim aliye kutembelea
 
...I hope sound itakuwa imewekwa mute kuruhusu mazungumzo tusi-judge mambo kwa mtazamo wa kurudi nyuma..:drum:

Sasa kuna umuhimu gani wa kuweka mute, hakuna anayeangalia na TV bado inaendelea kulamba energy. Sina hakika kama hiyo TV ni Energy Saver.
 
...si wamepunguza sauti hadi 0...!!

Kwa nini isingezimwa badala ya ku-mute?? Ukipunguza sauti bado energy consumption ni ile ile. Tatizo hapa ni energy saving na si ku-pay attention kwa wageni wake.
 
Nitakwambia kuwa wanajadili mambo rahisi na mengine yakihusisha kinachoendelea katika luninga. Huwezi kuniaminisha kuwa hapa mh. huyu wanajadili mambo yanayohusiana na majukumu yao, umakinin hautokuwepo pale (hata kama sauti iko 0 au mute) itakapoonekana picha yenye kuvuta macho, picha huvuta na huwa na tafsiri zaidi kuliko maneno.

Ushamba tu:smash:

Ingependeza kama ungerudi kuangalia hizo pics, kisha angalia kilicho kwenye TV....then endelea kijadili.
 
Indume Yene, You got a big point...nakumbuka katika nchi ya Botswana wakati fulani, serikali ilitoa matangazo na kuhamasisha watu kutumia maji na umeme vizuri...walitoa mpaka magari yanapita barabarani kuwahamasisha watu wapunguze matumizi kwani ukame ulikuwa mkubwa. They even went further kusema even if una uwezo wa kumwagilia bustani au kuzungusha maji kwenye hoteli kubwa, walisema hapana mpaka ile shida iishe kwani tayari walisha ona reserve yao ilikuwa kidogo. Kweli walifanikiwa sana na kila mtu alikuwa sensitive kwenye matumizi ya maji na pia umeme...so umesomeka mkuu
 
mbona vitu vidogo tu hivyo.

Mkuu,
Inawezekana kweli ikawa vitu vidogo kwako but remember hiyo bill nani analipa? Kodi yangu inalipa huo umeme.
Wafanyabiashara wakubwa wanasamehewa kodi, mie natembea kutoka Gongo la Mboto hadi Upanga kuuza tray moja ya mayai na bado natozwa kodi. Na hiyo ndiyo inalipa bills za serikali. So, this is a big deal to me.
 
Back
Top Bottom