Wanstechnical
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 266
- 225
Inaudhi sana kuona wasanii wengi siku hizi wameanza mtindo wa kuiga dialect (lahaja) ya kinaijeria katika uandishi wao... mf. "I no de lie", "u go make me crazy" sasa hii maana yake nini? Kwani hatuwezi kukuza lahaja zetu? Ommy dimpoz na wenzake wabadilike bana Kiswahili kina utamu wake bana.