Hii imekaaje??

Hii imekaaje??

Babu Lao

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
2,042
Reaction score
180
Mheshimiwa akiwa usingizini!!!
 

Attachments

  • Komba usingizini!!.jpg
    Komba usingizini!!.jpg
    125.1 KB · Views: 278
Anasema alikwua kqwenye maombi mazito kuwaombea wabunge wa CDM
 
Kweli hapo muwakilishi wamempata..kwenye kupokea posho that is!
 
Mheshimiwa akiwa usingizini!!!

Nilipoona picha hii kwenye gazeti la Mwananchi la tarehe 10/02/2011 nilishindwa kujizuia kucheka kwa jinsi mwandishi alivyoiweka caption: 'TUKO PAMOJA: Mheshimiwa akifuatilia kwa makini mjadala bungeni...', it was hillarious indeed! Hata hivyo pamoja na hicho kuonekana kama kichekesho cha siku nikajikuta naboreka na kuchukizwa na tabia hii ya Waheshimiwa kuuchapa usingizi bungeni.

Kilichokuja kunimaliza zaidi ni response ya Mheshimiwa kuwa katika picha hiyo alikua 'amezama kwenye maombi mazito ya kuliombea bunge' na wala hakulala kama ilivyodhaniwa. Nchi hii ina vituko jamani, hivi kweli mtu mwenye mzigo wa uongozi kwa watu wake utapataje usingizi kirahisi hata chumbani kwako??... sembuse bungeni!!?
 
Ukeshe kwenye kwaya na asubuhi mjengoni unategemea nini? Ndo alisema kua hakuwa amesinzia?
 
Mh. Regia Mtema alitoa kuwa kuwa bungeni ni sawa tudigrii moja au tatu ni sawa tu hata asiye kuwa nayo mwazo sawa maanake wengi hawaelewi wamekwenda mle kufanya nini
 
Hawa wabunge wanatufanya sisi wajinga,nani ambae hajui usingizi wa kulala na wa kuzama kimaombi!!!Unaliombea bunge wewe kama nani??Bungeni kuna muda wa kuomba dua kwa nini usiombe muda huo!!!Pole kwa waliompa KULA/KURA
 
Uliyetuma picha hii naomba tujulishe hii ni ya Bunge lililopita au la sasa... Kama ni sasa lazima tuwasiliane na wabunge waangalie uwezekano wa kutoa adhabu kwa watu kama hawa.... Sisi tunakufa njaa watu wanakula pesa kwa kulala bungeni... It is not fair
 


Alikuwa amechoka mno, kazi ya kuwaimbia wakubwa koo linakauka na inachosha
 
We geo uko wapi?Hii picha ni ktk bunge hili lililoanza juzi!!!eti anajitetea kuwa hakulala ila alizama ktk maombi-awadanganye hao wafuasi wake!!sisi tuko macho.
 
hahaaaa gwiji la kwaya hilo...kutwa anapiga rehersal
 
Kwa mtindo huu uchakachuaji utaendelea tu!. Kwa kweli hapa dhana nzima ya uwakilishi haipo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom