subiri lijengwe ndio uanze kulalama
Labda mimi sielewi!
Sijawahi kusikia dunia hii kuna nchi inatoza hela ya kutumia barabara au daraja, zaidi ya kodi, fines. Hii ya daraja la Kigamboni kuja kulipia kila unapotumia/kupita mi naona haijakaa sawa. Kwani kodi tunazolipa zinafanya nini? Panton tunalipia sababu ya kulipia gharama za uendeshaji kama. Mafuta, spare nk. Sasa daraja tunatalipia kwa sababu gani?
Jana nilikuwa nasikiliza BBC hadi mtangazaji akashangaa kusikia litakuwa la kulipia. Wana JF naomba mnieleweshe sababu ya kuja kulipia hilo daraja ni nn? Na je huo utaratibu kuna nchi nyingine unatumia?
Na nini maana ya public goods?
Nawasilisha
SmutTur[SUP]4[/SUP] | ||
BroPas[SUP]1[/SUP] | 14,00 | 22.00 |
Cash payment | 47.00 | |
EasyGo | 45.00 | |
10-trip card (the card costs 354.00 [SUP]2[/SUP]) | 35,40 |
SmutTur[SUP]4[/SUP] | ||
BroPas[SUP]1[/SUP] | 28,00 | 44.00 |
Cash payment | 94.00 | |
EasyGo | 94.00 | |
10-trip card (the card costs 354.00[SUP]2[/SUP]) | 70.80 |
SmutTur[SUP]4[/SUP] | ||
BroPas[SUP]1[/SUP] | 7,00 | 10.00 |
Cash payment | 25.00 | |
EasyGo | 25.00 | |
10-trip card (the card costs 195.00[SUP]2[/SUP]) | 19.50 |
Kazi mojawapo ya hili jukwaa iwe kuelimishana.Huyu anafahamu hiki yule anafahamu kile nk.SIyo kila mmoja anafanya kazi serikalini.Mleta mada angefahamishwa tu kwa lugha nzuri kuliko kufahamishwa na kupewa kejeli.Nashukuru sana kwa waliompa elimu kwa lugha ya staha.
Mtoa mada-Hicho unachokisema ni kitu kipo duniani kote zinaitwa TOLL ROAD (barabara za kulipia),ndiyo kwanza mambo haya yanaingia Tanzania.Tanroads wako kwemye mpango wa kujenga barabara ya kulipia ya njia sita (3 go/3 return) kutoka Mbagala rangi tatu hadi Chalinze.Kama hutaki foleni za Ubungo unachepuka huko unakimbiza gari 120KM/hr.Hii miradi inaitwa kwa kizungu Public private partnerships (PPP.Kampuni binafsi zinaijengea serikali miundo mbinu halafu zinarudisha fedha zao kwa kukusanya mapato.Mfano mwingine ni huo wa mabasi yanendayo kasi (BRT) Daresalaam.
Miradi hii ni ile tu inayotoa huduma kwa wananchi ambapo huduma hizo zilitakiwa kutolewe na serikali.Miradi mizuri sana.
Labda mimi sielewi!
Sijawahi kusikia dunia hii kuna nchi inatoza hela ya kutumia barabara au daraja, zaidi ya kodi, fines. Hii ya daraja la Kigamboni kuja kulipia kila unapotumia/kupita mi naona haijakaa sawa. Kwani kodi tunazolipa zinafanya nini? Panton tunalipia sababu ya kulipia gharama za uendeshaji kama. Mafuta, spare nk. Sasa daraja tunatalipia kwa sababu gani?
Jana nilikuwa nasikiliza BBC hadi mtangazaji akashangaa kusikia litakuwa la kulipia. Wana JF naomba mnieleweshe sababu ya kuja kulipia hilo daraja ni nn? Na je huo utaratibu kuna nchi nyingine unatumia?
Na nini maana ya public goods?
Nawasilisha
Labda mimi sielewi!
Sijawahi kusikia dunia hii kuna nchi inatoza hela ya kutumia barabara au daraja, zaidi ya kodi, fines. Hii ya daraja la Kigamboni kuja kulipia kila unapotumia/kupita mi naona haijakaa sawa. Kwani kodi tunazolipa zinafanya nini? Panton tunalipia sababu ya kulipia gharama za uendeshaji kama. Mafuta, spare nk. Sasa daraja tunatalipia kwa sababu gani?
Jana nilikuwa nasikiliza BBC hadi mtangazaji akashangaa kusikia litakuwa la kulipia. Wana JF naomba mnieleweshe sababu ya kuja kulipia hilo daraja ni nn? Na je huo utaratibu kuna nchi nyingine unatumia?
Na nini maana ya public goods?
Nawasilisha
Usipende vya bure.........daraja linajengwa na NSSF sasa michango yetu unataka irudi vipi?
Huyo mtangazaji wa BBC kama kashangaa kweli basi itakuwa kwa sababu nyengine, sio kwa kuwa hajawahi kusikia ama kuona ama kutumia barabara na madaraja ya kulipia. Uingereza barabara hizo zimejaa tele, pamoja na nchi nyengine zilizoendelea.
Katika nchi zinazoendelea zenye huduma kama hizo ni pamoja na China, Thailand,...
Asiyeweza kulipia daraja apande pantoni au apige mbizi :]
tanzania,tanzaniaaaaaaaa nakupenda kwa moyo woteeeeeeeeeee.......
nchi yangu tanzaniaaa jina lako ni tamu sanaaaaaaaaaaaaaa x2
nilalapo nakuwaza weweeeee.
niamkapo ni heri mama weeee.
tanzania tanzania jina lako ni tamu sanaaa...........
nikiukumbuka huu wimbo machozi yananitoka.
hawa viongozi walikuwa wanaomba mwalimu afe ili waiuze hii nchi?
je wanafikiri baada ya dhulma hizi dhidi ya wanyonge wao na familia zao wwatapona?
ee mungu nipe maisha marefu ili niushudie mwisho wao.
Usipende vya bure.........daraja linajengwa na NSSF sasa michango yetu unataka irudi vipi?
Labda mimi sielewi!
Sijawahi kusikia dunia hii kuna nchi inatoza hela ya kutumia barabara au daraja, zaidi ya kodi, fines. Hii ya daraja la Kigamboni kuja kulipia kila unapotumia/kupita mi naona haijakaa sawa. Kwani kodi tunazolipa zinafanya nini? Panton tunalipia sababu ya kulipia gharama za uendeshaji kama. Mafuta, spare nk. Sasa daraja tunatalipia kwa sababu gani?
Jana nilikuwa nasikiliza BBC hadi mtangazaji akashangaa kusikia litakuwa la kulipia. Wana JF naomba mnieleweshe sababu ya kuja kulipia hilo daraja ni nn? Na je huo utaratibu kuna nchi nyingine unatumia?
Na nini maana ya public goods?
Nawasilisha