Hii imekaaje ya kuja kulipia daraja la Kigamboni?

Namheshimu sana Mh Mnyika kama mmoja wa wabunge makini sana lakini kwa suala la kigamboni, ameharibu. Sera yake ya ngoja ngoja, inawaumiza matumbo ya walipa kodi walio vijijini. Imefikia wakati sasa watumiaji wa kivuko cha kigamboni ndio wawe na wajibu wa kuchangia zaidi katika uendeshaji wa kivuko kile chini ya nauli mpya, sio maskini wa bariadi, maswa, kyela, tandahimba, na kasulu kupitia kodi zao kwa serikali kuu, ambazo huchotwa kama ruzuku. Na maskini hawa, wengi wao hata hawajui kama kuna kivuko kigamboni.
 
Labda mimi sielewi! Sijawahi kusikia dunia hii kunanchi inatoza hela ya kutumia barabara au daraja, zaid ya kodi, fines. Hii ya daraja la kigambon kuja kulipia kila unapotumia/kupita mi naona haijakaa sawa. Kwan kodi tunazolipa zinafanya nn? Panton tunalipia sababu ya kulipia gharama za uendeshaji kama. Mafuta, spare nk. Sasa daraja tunatalipia kwa sababu gan? Jana nilikuwa nasikiliza BBC hadi mtangazaji akashangaa kusikia litakuwa la kulipia. Wana jf naomba mnieleweshe sababu ya kuja kulipia hilo daraja ni nn? Na je huo utaratibu kuna nchi nyingine unatumia? Na nin maana ya public goods?
Nawakilisha

Mh Mnyika, Ngungulile, Mtemvu, na Zungu inapaswa waulizwe swali hili. It would be interesting kusikia maoni yao kwani wao wamejaa msukumo wa kisiasa kuliko mantiki kuhusu sakata la kigamboni. kwasabau ya msukumo wao wa kisiasa zaidi ya mantiki na uhalisia wa mambo, ni dhahiri kwamba maelezo yao ya mwaka 2012 yatakuwa tofauti kabisa na msimamo wao mwaka 2015 daraja likikamilika.
 
Labda mimi sielewi! Sijawahi kusikia dunia hii kunanchi inatoza hela ya kutumia barabara au daraja, zaid ya kodi, fines. Hii ya daraja la kigambon kuja kulipia kila unapotumia/kupita mi naona haijakaa sawa. Kwan kodi tunazolipa zinafanya nn? Panton tunalipia sababu ya kulipia gharama za uendeshaji kama. Mafuta, spare nk. Sasa daraja tunatalipia kwa sababu gan? Jana nilikuwa nasikiliza BBC hadi mtangazaji akashangaa kusikia litakuwa la kulipia. Wana jf naomba mnieleweshe sababu ya kuja kulipia hilo daraja ni nn? Na je huo utaratibu kuna nchi nyingine unatumia? Na nin maana ya public goods?
Nawakilisha

NSSF watagharamia 60% ya gharama kutokana na michango ya walipa kodi ambao wapo katika ajira na kila mwezi wanakatwa katika mishahara yao asilimia kadhaa kama mafao ya kuja kuwasaidia wakifikia umri wa miaka 60 ambapo watakuwa wanalipwa kiasi fulani for the rest of their lives; Sasa NSSF itawalipa vipi wastaafu hawa wa baadae?

Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania itagharamia 40% ya gharama za ujenzi wa daraja lile, kupitia hela za walipa kodi, so given the involvement of the the government and NSSF, what do you expect? The expectation is - toll charges kutumia kivuko cha daraja jipya, na lazima kitaendana na sheria mpya za kupiga marufuku uzururaji wa waenda kwa miguu darajani pale ili to squeeze mapato kulipia gharama. Tukijaliwa kuishi kwa muda mrefu, tutagundua jinsi gani pantoni/kivuko cha kigamboni leo hii ni nafuu kwa mchukuzi, kwa kuzingagia kwamba daraja la kigamboni ni kuvuja kwa pakacha.
 
Hi nchi tunakoelekea siko kabisa. Soon utaanza kusikia tunalipia njia tunazopita, hewa tunayovuta. Yaani ukikutwa pale posta unashangaa shangaa majengo ya vioo Yale, unalipia.
 
MAmbo ya ppp (public private partnership) hayo! Lakini NSSF si public hiyo!!
 
Huo ndio ubepari ndugu zanguni, usione vyaelea kwenye nchi za watu, ujue vimeundwa. Mtindo wa kulipia ni wakawaida kabisa na hii inasaidia daraja/barabara kuweza kujiendesha yenyewe, (wafanyakazi kupata mishahara, ukarabati, ulinzi n.k). Cha muhimu hapa ni kuhakikisha kuna matumizi mazuri ya pesa.
 
Swali la kulipia kutumia daraja si la kushangaza , Hivi sasa tunalipia matumizi ya barara kupitia kodi ya Tsh 90 kwa kila lita ya mafuta(fuel levy). Kodi hii inakwenda moja kwa moja road fund.
 
[Mkuu swala la kulipi daraja linawezekana kabisa, kwani kama limejengwa na ma investor (private sector) itabidi watu walipie ili waweze kurudisha pesa yao,but kama serekali ndiyo imetoa pesa yote itabidi watueleweshe vizuri kwanini wana toza pesa wakati pesa zilizo jengea ni zawalipa kodi. uku tulipo kunabarabara kuu(high ways )lazima ulipie ukipita, ata kama ni marakumi ila kila ukipita lazima ulipie.
 
mi cjakataa kuwa mshamba, ndio maana nikauliza ili mtu aliyetembea dunian kote kama wewe na mjuaji kama wewe uniambie. Tell me mr mjuaji, kwa hiyo nchi nyingine madaraja yanalipiwa? Wanalipaje? Kwa kila mtu au gar tu au inakuaje mr mjuaji?

Sasa kama wajijua mshamba kwanini usiulize kwanza kabla ya ku draw conclusion?
Fanya research kwanza kabla ya kubwabwaja.
OTIS
 
Hi nchi tunakoelekea siko kabisa. Soon utaanza kusikia tunalipia njia tunazopita, hewa tunayovuta. Yaani ukikutwa pale posta unashangaa shangaa majengo ya vioo Yale, unalipia.

Simple mind.
OTIS
 
Hata Mie natengezeza Barabara yangu mtu akipita nitamlipisha Bora tugawane kwa njia hii hii na road Licence nitaacha kulipa...
 
Kodi inayopotea kila mwaka ni karibia sawa na 25% ya bajeti ya serikali, kwa takwimu za mwaka jana ambazo zinaonyesha kwamba bajeti ya tanzania ilikuwa trilioni milioni 13.
Tatizo ni Raisi wetu kuwa Mkimya kama Kobe hajali kitu sababu yeye yupo salama kavikwa Gamba... Hili ni Tatizo kwa Idara Nyeti ya Serikali kama TRA yawezekana kuna mirija ya uvujishaji wa makusanyo ya Kodi yanaenda mifukoni mwa Watu wachache inasemakana kila mtu anakula ofisini kwake

Huduma za Jamii mwenye jukumu kamili ni Serikali na wala haiitajiki kulipia huduma kama hizi Kazi ya Ukusanyaji wa Kodi ni kutoa Huduma na sio kulipana posho...

Huduma za Jamii zinatakiwa ziwe 100%

Afya 100%
Maji kama tulivyopewa na Mwenyezi Mungu 100% sio kama Bakhresa anatuuzia kwa bei juu huku akijidai anauza chupa na si maji...

Vivuko 100%

Barabara 100%

Ulinzi 100%

na huduma nyingi Muhimu ni Wajibu wa Serikali na kodi zetu...

Huku kulipia ni kama kutuumiza wananchi tu Serikali hii ikijatoka Madarakani nadhani ndio tutakuwa tumekomboka...

Siku zinavyoendelea tutalipishwa hadi Pumzi moja buku
 
Have seen road toll payed elsewhere on the planet. My concern is on the management of public funds in this country.
 
Usipende vya bure.........daraja linajengwa na NSSF sasa michango yetu unataka irudi vipi?

ndugu yangu si kupenda vya bure, kumbuka serikali inatoa asilimia arobaini ambazo ni pesa zetu watanzania. pia kumbuka kigamboni imeuzwa hivyo tunatumia pesa zetu kujenga mji uliouzwa. akili kichwani.
 
Ni daraja gani na nchi gani wanalipia wananchi kupita.. naomba tafadhali nijifunze na mimi..

Huwa mimi mzito sana kwa maswali mepesi kama lako jishughulishe usitumie internet kwa ajili ya JF tu pls! nimekurahisishia all BOT au PPP pesa za watu lazima zirudi! na sehemu nyingi tu duniani baadhi ya miradi ya barabara na nadaraja yaliyojengwa kwa mtindo wa juu hapo.
 
Sasa kama wajijua mshamba kwanini usiulize kwanza kabla ya ku draw conclusion?
Fanya research kwanza kabla ya kubwabwaja.
OTIS


mfanyeanjeshwa wakrumpa mkamerun OTIS.
Thankx! Point NOTED
 
Nilisikia kwenye media gharama kama takriban $200M. Hivi hizi ni pesa ambazo serikali inashindwa kuzirudisha na kufanya daraja hilo kutolipiwa moja kwa moja kama daraja na barabara zingine? Ndio; tunapaswa kuiga lakini si kila kitu tuighe. Serikali inapaswa kuchukua fedha kama mkopo toka NSSF na kujenga hilo daraja kama inavochukua mkopo na kujenga barabara zingine. Hilo la kulipia siliungi mkono.
 
Mimi nadhani tupunguze siasa bandugu..NSSF wanafanya kitu kizuri..mradi huu umelenga kuchaji magari tu na sio wapita kwa miguu..hivyo, kwanza kabisa Wananchi wa hali ya chini watafaidika sana na wenye michango yao watafaidika kwa kuboreshewa pension zao as a result ya profits zitakazozalishwa bila kusahau Multiplier effects katika upande wa ajira zitakazotokana na daraja hilo. All the Best NSSF, am proud kwa mchango wangu kuwa sehemu ya maendeleo haya.
 
Mimi nadhani tupunguze siasa bandugu..NSSF wanafanya kitu kizuri..mradi huu umelenga kuchaji magari tu na sio wapita kwa miguu..hivyo, kwanza kabisa Wananchi wa hali ya chini watafaidika sana na wenye michango yao watafaidika kwa kuboreshewa pension zao as a result ya profits zitakazozalishwa bila kusahau Multiplier effects katika upande wa ajira zitakazotokana na daraja hilo. All the Best NSSF, am proud kwa mchango wangu kuwa sehemu ya maendeleo haya.

Naunga hoja kwa mikono na miguu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom