Hii imekaaje wapendwa???

ni kweli mwanamke akiambiwa yuko kama mwanamme anafurahi sababu inaonesga komitiment kwenye responsibilities, decision making, determination na fokas katika maisha.

mwanamme akiambiwa uko kama mwanamke anachukuliwa ana tabia za kupenda kulelewa au awe baba wa nyumbani, umbea mbea mtaani. Na mengine yasiyo ya tija.

mwanamke kuhusishwa na sifa mbiovumbovu nilizotaja hapo juu nadhani ilitokana na yeye kukosa nafasi ya kwenda shule ndo maana sasa hivi wanasema ukimwelimisha mwanamke umeelimisha jamii.
 
ni kweli mwanamke akiambiwa yuko kama mwanamme anafurahi sababu inaonesga komitiment kwenye responsibilities, decision making, determination na fokas katika maisha.

mwanamme akiambiwa uko kama mwanamke anachukuliwa ana tabia za kupenda kulelewa au awe baba wa nyumbani, umbea mbea mtaani. Na mengine yasiyo ya tija.

mwanamke kuhusishwa na sifa mbiovumbovu nilizotaja hapo juu nadhani ilitokana na yeye kukosa nafasi ya kwenda shule ndo maana sasa hivi wanasema ukimwelimisha mwanamke umeelimisha jamii.

kwa hiyo practicaly mwanaume na mwanamke hawawi sawa eti?
 
Theoretical, wanawake na wanaume ni sawa, practiacal, hili halip[o kabisa na usijidanganye...

Linapotokea tatizo, sisi wanawake ndio wa kwanza kujiweka kanda na kusema "wewe ndio baba wa nyumba..."

Tehe tehe tehe

hapo sasa ndo mnaponishangaza na waweza kuta yanatoka kwenye kinywa cha mwanaharakati
tehe tehe tehe
 
Tabia za kike

Umbea, Legelege, Kudeka, Kulia lia, Kutojiamini,

Tabia za Kiume

Kufanya Maamuzi kwa Hekima, Ukakamavu, Uvumilivu, Ujasiri,

NADHANI NIMEKUJIBU
 
Ukitokea msiba wa ghafla utaona big difference between man and woman...wanaume kulia kwa mayowe mmmh watu watakudharau na kukuona emotionaly weak lakini mwanamke asipolia msiba ukimkuta eti "ana roho ngumu huyu dah"
 
Tabia za kike

Umbea, Legelege, Kudeka, Kulia lia, Kutojiamini,

Tabia za Kiume

Kufanya Maamuzi kwa Hekima, Ukakamavu, Uvumilivu, Ujasiri,

NADHANI NIMEKUJIBU

usawa naona haupo sasa au labda usawa unaopigiwa kelele siku zote ni Upi?
 
usawa naona haupo sasa au labda usawa unaopigiwa kelele siku zote ni Upi?

Kama akivyosema mkuu hapo juu.
Wanataka usawa kwenye fursa. iwe ajira, mikopo, haki za kumiliki ardhi na biashara, uongozi

Na fursa nyingine
 
Tabia za kike

Umbea, Legelege, Kudeka, Kulia lia, Kutojiamini,

Tabia za Kiume

Kufanya Maamuzi kwa Hekima, Ukakamavu, Uvumilivu, Ujasiri,

NADHANI NIMEKUJIBU
Sina umbea, sio legelege, sideki, siliilii na nnajiamini.Am I a MAN?
 
Tabia za kike

Umbea, Legelege, Kudeka, Kulia lia, Kutojiamini,

Tabia za Kiume

Kufanya Maamuzi kwa Hekima, Ukakamavu, Uvumilivu, Ujasiri,

NADHANI NIMEKUJIBU
Labda huyo uliyenaye ndio ana tabia hizo,sio wote especialy mie siko hivyo,
Vp kwa wale wanaume wanaoongozwa na kufanyiwa maamuzi na wake zao nao ni wananwake au?
Kuwa specific usijenero laizi bwana,kila mtu ana tabia yake na utashi wake bila kujali ni me/ke!!!
 
Habari zenu wana MMU...
Siku hazipiti hapa MMU basi itapostiwa thread ikiwa imekaa kimfumo mfumo dume hivi kitu ambacho wenye kuuchukia huwa wanawasha moto vibaya sana hapa...

Sasa kwanini mwanamke akiambiwa "we mwanamke jasiri,kauzu,ngangari kama mwanaume? Anafurahi kweli kweli...mbaya zaidi utakuta mwanamke anamtukana mwanaume "we nae mwanaume? una mambo ya kike kikee" hapa huwa sielewi kabisa akimaanisha kakutusi...
Sasa usawa uko wapi hapa? Kuwa kidume au wakike kike?
Haya ni mapokeo tumeyakuta kutoka mwanzo na ndio maana siku hizi mambo yamebadilika sana,
Kwa waelewa na wanaojua hata km mwanamme atabaki kuwa mwanaume cha msingi ni HAKI SAWA MAJUKUMU KWA WOTE,
Mambo mengine watu tu watumia lugha isiyonzuri km kashfa tu tu kwa wanawake.
 
Haya ni mapokeo tumeyakuta kutoka mwanzo na ndio maana siku hizi mambo yamebadilika sana,
Kwa waelewa na wanaojua hata km mwanamme atabaki kuwa mwanaume cha msingi ni HAKI SAWA MAJUKUMU KWA WOTE,
Mambo mengine watu tu watumia lugha isiyonzuri km kashfa tu tu kwa wanawake.

wenzio wanasema hapo juu ni TOO THEORETICAL rather than Practical...haipo hii best yangu canty
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom