Nimeikuta mahala fulani hii, naomba comments wakuu.View attachment 40460
Nimeikuta mahala fulani hii, naomba comments wakuu.View attachment 40460
David Cameron
Mbona iko open ila yataka utazame fresh... Hapo ina maanisha kuna huduma tatu
1. WODI YA WAZAZI
2. WODI YA UPASUAJI
3.WODI YA WANAUME
so simlply wameintergrate na kuwa wodi ya wazazi, upasuaji na wanaume...
Concern yangu hapa haiko kwamba ubao unaelezea nini, hapana mkuu hapo nilielewa uzuri BUT imekuwaje basi wodi ya wazazi (ambayo obviously ni ya wanawake) iwe jirani kabisa na ya wanaume?!
Mmhhh, miye napita tu. Nitachangia nikirudi baadaye.Nimeikuta mahala fulani hii, naomba comments wakuu.View attachment 40460