Nevergive up
JF-Expert Member
- Dec 24, 2024
- 546
- 849
Wakuu mwenye uzoefu naomba maelekezo kuhusu biashara hii ya mafuta ya alizet.natoa dodoma au singida naenda kuyauza dar es salaam. Je biashara hii imekaaje? Nipeni mwangaza
Hapana bado sijaanza mkuuYaani tayari unafanya biashara afu unataka tukupe uzoefu gani
Inalipa sana uwe na wateja wa kuaminika tuHapana bado sijaanza mkuu
Shukurani mķuu.je mtaji kuanzia shingapi?Inalipa sana uwe na wateja wa kuaminika tu
Kwa swali hili inaonyesha kufeli hata kabla hujaanza.Shukurani mķuu.je mtaji kuanzia shingapi?