choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,554
Habarini za jion?
Mimi ni kijana ambaye naish maisha yangu mwenyewe maana bado sijaoa, nina tatizo moja ambalo kwa muda mrefu nimekua nikiliona ktk maisha yangu toka nimeanza kujitegemea.
Yaan nikiwa sina hela nakua na hamu sana na mwanamke kiasi kwamba ntanyegeka kwel kweli sasa kivumbi kinakuja nikiwa na hela yaan mzee mzima anatulia ndan hata hasomeki, Hisia znapotea. Inafika time mpaka najikagua “hiv kweli nina hisia”
Hii hali inatokana na nini wadau.
Mimi ni kijana ambaye naish maisha yangu mwenyewe maana bado sijaoa, nina tatizo moja ambalo kwa muda mrefu nimekua nikiliona ktk maisha yangu toka nimeanza kujitegemea.
Yaan nikiwa sina hela nakua na hamu sana na mwanamke kiasi kwamba ntanyegeka kwel kweli sasa kivumbi kinakuja nikiwa na hela yaan mzee mzima anatulia ndan hata hasomeki, Hisia znapotea. Inafika time mpaka najikagua “hiv kweli nina hisia”
Hii hali inatokana na nini wadau.