atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,319
- 9,434
Hiyo hali hata mm huwa inanitokea sana nnapokuwa na hela sinaga mzuka kbs na wanawake ila ss nnapokuwa sina kitu ndio utanikuta nahangaika na wanawake,mwisho wa siku huwa namshukuru Mungu kwa hii hali