Hii imekaaje? Wachaga kuchukua nafasi 25 kati ya nafasi 40 zilizotangazwa na Taasisi kubwa ya Serikali

Annunaki

JF-Expert Member
Dec 30, 2021
1,911
3,171
Leo katika kujadili tatizo la ajira nchini na watu kadhaa, basi mfanyakazi mmoja wa taasisi kubwa ya elimu ya juu iliyopo Dar es salaam ambayo pia inajulikana kwa jina la utani JALALANI, akaibuka na kusema kwenye hiyo taasisi walitangazaga nafasi 40 za kazi na 25 waliajiriwa Wachaga.

Sasa ikabidi nijiulize maswali yafuatayo baada ya mjadala huo;

Je, ina maana Watanzania wengine ambao siyo Wachaga probability yao ya kupata kazi kwenye hiyo taasisi ni mdogo sana?

Je, inawezekana management yote ya taasisi imejaa Wachaga tu?

Je, ajira hizo hazikupitia Utumishi?

Je, kwenye hiyo taasisi kuna nepotism ya kuwapa kipaumbele Wachaga?

Makabila mengine hayana wasomi wanaostahili nafasi hizo, hadi Wachaga 25 Kati ya 40 kuajiriwa kwa mkupuo tena kwenye taasisi moja?


WITO KWA SERIKALI.
Serikali fuatilieni kwenye taasisi zote ambazo zinaajiri bila kupitia Utumishi, kuna nepotism ya kutisha.

Watanzania wote wenye sifa na vigezo wana haki sawa ya kuajiriwa na Serikali bila kujali makabila yao.
 
Wakati babu na baba za watoto wa kichaga wanasomesha watoto wao kwa jasho baba na babu zenu walikua busy kutafuta mke wa pili badala ya kusomesha.

My point is huo ni uwekezaji wa miaka mingi kwa hiyo acha kulia lia, na wewe somesha watoto wako wawe na akili kichwani!
Bwana Upepo wa Pesa makabila yote kwa sasa wamesoma na wana elimu ya kutosha.

Hapo lazima hao 25 walibebwa na ukabila & are less competent, yaani hii snerio haingii akilini kabisa.
 
Leo katika kujadili tatizo la ajira nchini na watu kadhaa, basi mfanyakazi mmoja wa taasisi kubwa ya elimu ya juu iliyopo Dar es salaam ambayo pia inajulikana kwa jina la utani JALALANI, akaibuka na kusema kwenye hiyo taasisi walitangazaga nafasi 40 za kazi na 25 waliajiriwa wachaga.

Sasa ikabidi nijiulize maswali yafuatayo baada ya mjadala huo;

Je ina maana Watanzania wengine ambao siyo wachaga probability yao ya kupata kazi kwenye hiyo taasisi ni mdogo sana?

Je inawezekana management yote ya taasisi imejaa wachaga tu?

Je ajira hizo hazikupitia Utumishi?

Je kwenye hiyo taasisi kuna nepotism ya kuwapa kipaumbele wachaga?

Makabila mengine hayana wasomi wanaostahili nafasi hizo? , hadi wachaga 25 Kati ya 40 kuajiriwa kwa mpukuo tena kwenye taasisi moja.


WITO KWA SERIKALI.

Serikali fuatilieni kwenye taasisi zote ambazo zinaajiri bila kupitia Utumishi, kuna nepotism ya kutisha.

Watanzania wote wenye sifa na vigezo wana haki sawa ya kuajiriwa na Serikali bila kujali makabila yao.
Acha ramli chonganishi,sababu zaweza kuwa nyingi,ikiwa ni kukidhi vigezo vya ajira yenyewe pamoja na kufauli usajili,iwe ni WA mahojiano,maandishi hata zile sifa za kitaaluma.
 
Wakati babu na baba za watoto wa kichaga wanasomesha watoto wao kwa jasho baba na babu zenu walikua busy kutafuta mke wa pili badala ya kusomesha.

My point is huo ni uwekezaji wa miaka mingi kwa hiyo acha kulia lia, na wewe somesha watoto wako wawe na akili kichwani!
Tena wengi wamekua huku wakiandamwa na kwashiakoo na marasmus🤔
 
Acha ramli chonganishi,sababu zaweza kuwa nyingi,ikiwa ni kukidhi vigezo vya ajira yenyewe pamoja na kufauli usajili,iwe ni WA mahojiano,maandishi hata zile sifa za kitaaluma.
Hapana kwa utitiri wa wasomi waliojaa kwa sasa hilo hakiwezekani.

Serikali inatakiwa kuzichunguza taasisi zote zinazoajiri bila kupitia utumishi.
 
Wakati babu na baba za watoto wa kichaga wanasomesha watoto wao kwa jasho baba na babu zenu walikua busy kutafuta mke wa pili badala ya kusomesha.

My point is huo ni uwekezaji wa miaka mingi kwa hiyo acha kulia lia, na wewe somesha watoto wako wawe na akili kichwani!
Wizara ya fedha huko palikua na wachaga wengi kisa mramba,jakaya akafumua,hii ndiyo sababu watu wa kaskazini hawatoingia ikulu,akikaa mmoja sehemu wanajaa wao tu
 
Kuna kitu kinaitwa kuchangamkia fursa hata mimi sikuona tangazo lenyewe pia siwezi kulalama maana hata tangazo sikuona.
Hapo ndo tatizo linapoanzia, maana kama hawatoa hata tangazo la kazi, maana yake wanakuwa na watu wao tayari na ndo hayo yaliyotokea watu 25 wote uchagani tena kwenye taasisi moja na kwa mkupukuo.
 
Back
Top Bottom