Hii imekaaje kwa kinadada wenye mvuto

Hii imekaaje kwa kinadada wenye mvuto

Sioni shida ikiwa wanatunza watoto wao bila kumbugudhi mtu. Maisha yao, maamuzi yao.
 
Wanaringiaga uzuri wao.
Matokeo wanaangukia kwa wanaune suruali.
Afu wazuri wanakasoro hao eeee.
Mara nyingi ndo mana huachwa
 
Wanawake wazuri wamekaa kama viwanda vidogovidogo vya kuflatulia vizazi vipya sababu kubwa ni wajuaji na watu wa kuchagua sana
 
Wanawake wazuri wazuri wameolewa wamebaki madunga embe yanahangaika, enzi hizo saiv ni kinyume chake, wanaume wameshtuka mara nyingi hao wazuri waliotukuka hawanaga adabu ndoani


stereotype...
 
Tatizo huwa wanatukataa sisi wabeba magunia mnatuona kama vile hatuko gentle au kama tumepotea njia flani hivi.

Haya sasa hao mnaowataka na kuwapenda wa maofisini ndio wanawatia mimba na kuwaacha ubungo mataa mnabaki kushangaa picha limeishaje wakati stering bado hajafa.

Acha nikomae kubeba magunia mie.
 
Back
Top Bottom