Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Jamani Zimbabwe ni kero tupu. Inasemekana hela haipatikani kwa sababu uchumi umezorota. Kisha dala zilizopo zinachafuka na kunuka mpaka inabidi zioshwe....kudadeki!!!
Jamani Zimbabwe ni kero tupu. Inasemekana hela haipatikani kwa sababu uchumi umezorota. Kisha dala zilizopo zinachafuka na kunuka mpaka inabidi zioshwe....kudadeki!!!
Ni kweli Waaafrika Bwana ndivyo walivyo tu. mimi ningelikuwa karibu ningechukuwa hizo Dolla ingawa dola zenyewe ni dola moja moja. Na huyo jamaa hatoki hapo atazilinda tu Kasheshe kweliWazungu wakiona mambo kama haya ndio wanachoka kabisa na akili za Waafrika!!!
Jamani Zimbabwe ni kero tupu. Inasemekana hela haipatikani kwa sababu uchumi umezorota. Kisha dala zilizopo zinachafuka na kunuka mpaka inabidi zioshwe....kudadeki!!!