Ni kweli mkuu kwa sasa Zanzibar ni sawa na Burundi tu hakuna tofauti kabsa japo Zanzibar hakuna vita.@Nkurunzinza at work......
Ni kweli mkuu kwa sasa Zanzibar ni sawa na Burundi tu hakuna tofauti kabsa japo Zanzibar hakuna vita.@Nkurunzinza at work......
Kama unayajua matokeo ya uchaguzi, usiharibu kura yako!Kwa sasa Zanzibar hakuna ridhaa ya wananchi wengi bali kuna Utawala wa kidikteta tu ambao tarehe 20 match utawahadaa Dunia kwa Uchaguzi feki ambao matokeo wanayo mifukoni.
aisee!!hapa ndipo huwa namshangaa Barbarossa,,sijui wewe katika maisha ya kawaida ni MTU wa namna gani jamani,,basi tuu,,lazma unafahamu ukweli juu ya dhuluma inayoendelea Zanzibar Iakini umeamua kuwatetea ccm,,huku nafsi ikipingana na unachoandkawe ndugu uko sawa?????
tangu umepata akili unaelewa kinachoendelea?????/
kuumia tangu 1961 bado tukubali kuendelea kuumia2????
kaka jf ni sehem watu huwa wanakuja kuchota maarifa hata wasio na id"s,..
endelea kuumia wewe sio wte mkuu
kwani uzi wako umejaa kejeli na vimipasho,....
unatia simanzi na kuumiza akili na moyo wangu.
HV we babarosa, unajua kweli unachokiandika humu??!
Mapendekezo uyatoayo kuwa, cuf waingie tu wapige kampeni. Nikkulize tu ndg yangu, hizo kampeni zitaanza na kuisha lini?
Hakuna MTU ataleta fyokoz, ila hakuna dhambi isiyolipwa, na dhulma ziwazo zote, zikizidi km ionekanavyo, Jehovah siyo athuman, hujibuga mchana kweupee!! Haya yatapita tu.
Jifunze kuwa, kwenye haki maana.Mungu hupendezwa na haki, siyo kusifia udhalimu tu.
Km nimekukosea unisamehe babarosa.
Kikwete alikwenda ikulu kwa kazi mbili ya kwanza kumsihi Magufuli asimwachie Zanzibar maalum Seif pili NIDA alitaka Takukuru waache kuichunguza kwani zile pesa walizopewa zilipindishwa na kutumika kwenye kampeni ingawa zingine ziliibiwa na Jack Gotham lakini wanachotaka ni NIDA waachwe kufuatwa fuatwa.Ndugu yangu kuna fisadi mpevu nchi hii kama mkwere, ona sasa kila mjengoni na jana karudi kule, anafata nini muda wake ushaisha yeye ndo katufikisha hapa tulipo sasa huyo unayemsema wewe katufikisha wapi
Naamini misimamo ya cuf sio ya Maalim. kuna watu ndani ya cuf wanaongozwa na jazba hawatumii akili yao halisi. Ni sawa na mechi ya mpira ikivurugika kabla mpira haujaisha, ni sharti match irudiwe. hakuna matuta wa ushindi wa mezani wa kukuaa na kujadiliana
Vyama 8 vina njaa wamepewa Rushwa kuingia kwenye Uchaguzi Haramu ambao hautakuwa na waangalizi wa kimataifa, CUF hawawezi kwenda Mahakamani kwa sababu wanajua matokeo ya Mahakamani yatakuaje. Kwa sasa Zanzibar inatawaliwa kidikteta na tarehe 20 match itakuwa ni kuharalisha utawala wa kifalume Utawala wa milele mpaka Dr Shein atembelee Mkongojo.Uungwaji mkono wa madai ya CUF kutoka EU, US na Japan yamevunjwa nguvu na matokeo ya uchaguzi wa Uganda ambapo demokrasia imebakwa kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Museveni amesema hana mpango wa kuwa na ukomo wa kugombea urais
Kama EU, US na wenzao watakubdli utawala wa Museveni watakuwa wamepoteza moral authority kukemea uongozi wa Magufuli kuhusiana na uchaguzi wa Zanzibar kwani ZEC imeandaa uchaguzi urudiwe na vyama 8 kati ya 15 vimekubali urudiwe. Kama vyama vyote vya upinzani vingesusia CUF wangekuwa na hoja. Kwa nini wamekataa kutafuta tafsiri ya mahakama kuhusu mgogoro huu?
Duh,Kikwete alikwenda ikulu kwa kazi mbili ya kwanza kumsihi Magufuli asimwachie Zanzibar maalum Seif pili NIDA alitaka Takukuru waache kuichunguza kwani zile pesa walizopewa zilipindishwa na kutumika kwenye kampeni ingawa zingine ziliibiwa na Jack Gotham lakini wanachotaka ni NIDA waachwe kufuatwa fuatwa.
Lowasa ndiyo kachukua pesa za Escrow? Pesa zinazotumika Zanzibar kwenye Uchaguzi haramu zinaliwa na Lowasa? Zile billion 1.7 zilizopotea kwenye kampeni ya ccm zilichukuliwa na Lowasa? Kivuko Feki, mabehewa chakavu chenji ya rada na zile billion 250 zilizopotea wizara ya Ujenzi kwa kuwalipa kandarasi Hewa zilichukuliwa na Lowasa? Yaani wewe Umekariri Akili za Membe na Nape ukiamini Lowasa ni Fisadi tu wakati Mafisadi unao huko huko ulipo, waulize boss zako Membe pesa za NIDA zipo wapi? Muulize na Nape pesa za kununulia Goli la mkono alitoa wapi?Kama siyo wa Seif unafikiri ni wa nani? wa fisadi Lowasa?
Yaani wewe Umekariri Akili za Membe na Nape ukiamini Lowasa ni Fisadi tu wakati Mafisadi unao huko huko ulipo, waulize boss zako Membe pesa za NIDA zipo wapi? Muulize na Nape pesa za kununulia Goli la mkono alitoa wapi?
Usimtusi hapo ndo uwezo wake ulipokoma na hiyo ni tosha kuteuliwa kugombea ubunge kama prof kingwenduumeandika nini??hembu tuliza jazba na papara andika vizuri ueleweke
Lugha ya watu hiyo mwana wane kama huiwezi huiwezi tu!umeandika nini??hembu tuliza jazba na papara andika vizuri ueleweke
Yaani wewe Umekariri Akili za Membe na Nape kuwa Lowasa ni Fisadi ! Mbona pesa za NIDA boss wako kazitafuna peke yake? Nape kanunua Ubunge kwa pesa toka kwa Membe iweje kukariri Lowasa ni Fisadi? Kwani Lowasa ndiyo kala pesa za chenji ya Rada? Escrow, kivuko, mabehewa, EPA,mikataba ya madini, Gesi, Buzwagi, uagizaji sukari nje , makontena, kuuza wanyama hai Uarabuni nk.Unafikiri MAKADA ni watu wanaojitambua? We huoni anasema ameenda
Uingereza ikiwa ni maagizo ya fisadi Lowasa? Yaani hana kumbukumbu
kuwa Maalim ashawahi kwenda kushitaki huko kwa wahisani wakati Lowasa
akiwa ndani ya CCM!
huwa anaenda kwa mfuasi wake kwa mjukuu alietawala zanzibar kabla hawajaondolewaMaalim Seif yuko Uingereza kushitaki kwa Wazungu kuhusu Unguja na Pemba hapo hapo Balozi wa Uingereza ambaye ndiye mwakilishi wa Serikali wa nchi hiyo leo katinga Ikulu kumsalimia Raisi Magufuli na kumletea salamu za pongezi ktk kwa Mkuu wa Serikali anayoiwakilisha hapa nchini, sasa Maalimu katumwa na fisadi Lowasa na wenzake huko Uingereza ni nani hata atawasikiliza?
Watu wanahangaika, mimi ningewashauri CUF wakubali tu kufanya Uchaguzi na wapige Kampeni kikweli kweli ili angalau labda wanaweza kufika mbali au nani anajua labda hata kuwemo kwenye Serikali ya Umoja na CCM lkn kususia ni kwamba CCM inachukuwa Uongozi kwa 100% na hakuna kitu CUF au fisadi Lowasa &Co. watafanya kwani kama ni Jeshi liko chini ya Raisi wa JMTZ na ameshasema uchaguzi urudiwe na atakayeleta fyoko basi atafyokolewa, na kama ni Wazungu ambao ndiyo walikuwa wanawategemea ndiyo hao tena wanakuja Ikulu kumpongeza Raisi Magufuli kwa kazi anayoifanya hii ni pamoja na uamuzi wa marudio uchaguzi wa Unguja na Pemba kesho pia mtamuona Mwakilishi wa EU anaenda Ikulu kwa Magufuli, balozi wa Ujapani, Marekani, Uchina n.k
Hivyo CUF na ukawa hakuna kitu mtafanya, kubalini tu yaishe aliyekuzidi kakuzidi tu, CCM wana Raisi hivyo wameshika mpini ndiyo hivyo tena, mkileta fyoko mtafyokolewa kama Besigye na hakuna kitu mtafanya!
Acha Jazba, Maalim Seif alikosea kujipa kazi ya Jecha kutangaza mshindi na Jecha nae alikosea kufuta matokeo. Sasa makosa yameshatokea, njia nzuri isiyo na matatizo ni kurudia uchaguzi. Wapiga kura wale wale wapo, uoga wa nini na kutaka ushindi wa mezani? Hii ilikua ndio fursa kwa maalim kuudhihirishia ulimwengu kwamba alishinda.
london maalim seif ataambiwa arudi kushiriki uchaguzi. kura za kiubabe kwenye fiefdom yao pemba wataambiwa sio haki.Maalim Seif yuko Uingereza kushitaki kwa Wazungu kuhusu Unguja na Pemba hapo hapo Balozi wa Uingereza ambaye ndiye mwakilishi wa Serikali wa nchi hiyo leo katinga Ikulu kumsalimia Raisi Magufuli na kumletea salamu za pongezi ktk kwa Mkuu wa Serikali anayoiwakilisha hapa nchini, sasa Maalimu katumwa na fisadi Lowasa na wenzake huko Uingereza ni nani hata atawasikiliza?
Watu wanahangaika, mimi ningewashauri CUF wakubali tu kufanya Uchaguzi na wapige Kampeni kikweli kweli ili angalau labda wanaweza kufika mbali au nani anajua labda hata kuwemo kwenye Serikali ya Umoja na CCM lkn kususia ni kwamba CCM inachukuwa Uongozi kwa 100% na hakuna kitu CUF au fisadi Lowasa &Co. watafanya kwani kama ni Jeshi liko chini ya Raisi wa JMTZ na ameshasema uchaguzi urudiwe na atakayeleta fyoko basi atafyokolewa, na kama ni Wazungu ambao ndiyo walikuwa wanawategemea ndiyo hao tena wanakuja Ikulu kumpongeza Raisi Magufuli kwa kazi anayoifanya hii ni pamoja na uamuzi wa marudio uchaguzi wa Unguja na Pemba kesho pia mtamuona Mwakilishi wa EU anaenda Ikulu kwa Magufuli, balozi wa Ujapani, Marekani, Uchina n.k
Hivyo CUF na ukawa hakuna kitu mtafanya, kubalini tu yaishe aliyekuzidi kakuzidi tu, CCM wana Raisi hivyo wameshika mpini ndiyo hivyo tena, mkileta fyoko mtafyokolewa kama Besigye na hakuna kitu mtafanya!
ujuha ulianza zamani.kwa hiyo. maoni makala.Maalim Seif yuko Uingereza kushitaki kwa Wazungu kuhusu Unguja na Pemba hapo hapo Balozi wa Uingereza ambaye ndiye mwakilishi wa Serikali wa nchi hiyo leo katinga Ikulu kumsalimia Raisi Magufuli na kumletea salamu za pongezi ktk kwa Mkuu wa Serikali anayoiwakilisha hapa nchini, sasa Maalimu katumwa na fisadi Lowasa na wenzake huko Uingereza ni nani hata atawasikiliza?
Watu wanahangaika, mimi ningewashauri CUF wakubali tu kufanya Uchaguzi na wapige Kampeni kikweli kweli ili angalau labda wanaweza kufika mbali au nani anajua labda hata kuwemo kwenye Serikali ya Umoja na CCM lkn kususia ni kwamba CCM inachukuwa Uongozi kwa 100% na hakuna kitu CUF au fisadi Lowasa &Co. watafanya kwani kama ni Jeshi liko chini ya Raisi wa JMTZ na ameshasema uchaguzi urudiwe na atakayeleta fyoko basi atafyokolewa, na kama ni Wazungu ambao ndiyo walikuwa wanawategemea ndiyo hao tena wanakuja Ikulu kumpongeza Raisi Magufuli kwa kazi anayoifanya hii ni pamoja na uamuzi wa marudio uchaguzi wa Unguja na Pemba kesho pia mtamuona Mwakilishi wa EU anaenda Ikulu kwa Magufuli, balozi wa Ujapani, Marekani, Uchina n.k
Hivyo CUF na ukawa hakuna kitu mtafanya, kubalini tu yaishe aliyekuzidi kakuzidi tu, CCM wana Raisi hivyo wameshika mpini ndiyo hivyo tena, mkileta fyoko mtafyokolewa kama Besigye na hakuna kitu mtafanya!
Zanzibar kwa sasa ni mzigo mzito wa Hazina pesa yote ya Tanganyika inamalizikia huko, Yaani pesa zinazotumika kuweka vyombo vya dola huko ni kubwa mara 5 zaidi ya endapo CUF wangekuwa wameachiwa Nchi yao watawale. Huu Ufujaji wa pesa za watanganyika kwa kazi ya kulazimisha uatawala wa kifalume Zanzibar haukubaliki kamwe.Pesa zinatoka Tanganyika kwa wafanyakazi Zanzibar ni watumiaji tu wacha watumie kwa kulinda mungano