Hii siku kweli ilikuwa ngumu sana....nilikuwa nasubiria mke wangu ajifungue, nilichanganyikiwa...hapa ni ofisini sikuwa najua nilichokuwa nafanya...hii picha nilipigwa na wenzangu bila hata kujua!!! Namshukuru Mungu alijifungua salama.....kweli mtoto anayemdharau Mama yake anafanya kosa kubwa sana!!!