Hii ilikuwa Durban 1982

Kwamba unataka tujilinganshe na Durban? Durban na Cape town ni miji ya kibeberu japokua ni africa hii hii...na imejengwa na mabeberu kutakakuilinganisha dar na durban ni kuikosea heshima nchi yako.. wakati durban inajengwa sisi huku tunahangaika na unga wa manjano ili wananchi wasurvive
 
bad news ni kwamba SA ni nchi ya 3 kwa uchumi kwa sasa,tofauti na miaka kadhaa nyuma.

darban na cape town ni miji mikongwe si kati ya miji inayokua kwa kasi africa wakati dsm ipo.

wakati wewe umekaa umeridhika kwamba sasa nimefanikiwa,kuna watu wanakuja nyuma yako kwa kasi na nguvu kubwa sana na huwezi shindana nao.
 
Aiseee, unga wa Yanga!
 
Tanzania inajivunia hivi vitu mwaka 2021
S.A sijui itakuwa inajivunia nini mwaka huu baada ya miaka zaidi ya 39 kupita.

View attachment 1986164

Tanzania ni nchi ya kusikitisha sana.
Je Tanzania inajivunia kwa kukamilisha miradi kama hiyo au inajivunia mazingira rafiki ya kupiga pesa na kukwamisha miradi kama hiyo?
 
Yani ndio tupigiwe makelele yote haya!

Hii ni BRT ya Durban ilitakiwa ikamilike mwaka 2000 ila bado iko hivi hadi leo.

Yani ina maana Tanzania ni mkia sana
 
Na wanayo BRT nyingine ndani ya Durban inafanya kazi jinsi gani walivyo na hela
 
Je Tanzania inajivunia kwa kukamilisha miradi kama hiyo au inajivunia mazingira rafiki ya kupiga pesa na kukwamisha miradi kama hiyo?
Kaka Tanzania inajivunia vidaraja 😝 nilionyeshwa picha ya daraja la ubungo interchange na Magufuli kwenye Tv ya taifa ila alichokuja kuzindua anakijua yeye na wachina
 
Tanzania inajivunia hivi vitu mwaka 2021 πŸ˜₯ S.A sijui itakuwa inajivunia nini mwaka huu baada ya miaka zaidi ya 39 kupita.

View attachment 1986164

Tanzania ni nchi ya kusikitisha sana.
Mbona haujaleta ni vile vilivyojengwa na mtu mweusi baada ya uhuru wao kamili mwaka 1994? Kuna tofauti kubwa ya tawala za kizungu na kiafrika katika bara letu. Kaburu ya miaka hiyo ilikuwa bora na nzuri ukiilinganisha na hii ya sasa.

Kwanza bora hata TZ pamoja na wazungu kuondoka bila kujenga kitu lkn wenyeji wenyewe wamejitahidi kujenga na kuifikisha nchi hapo ilipofika leo.

Lkn kaburu toka uhuru mpaka leo majengo ni yale yale, barabara zile zile, walichofanikiwa ni kupaka rangi tu viwanja vya mpira wakati wa world cup yao.
 
Kaka Tanzania inajivunia vidaraja
nilionyeshwa picha ya daraja la ubungo interchange na Magufuli kwenye Tv ya taifa ila alichokuja kuzindua anakijua yeye na wachina
Unamaanisha ulioneshwa "model" ya daraja lilivyotakiwa liwe na lilipokamilika likawa na sura pamoja na structure tofauti?

Mambo hayo Tz yapo tu sana, kama unakumbuka vizuri model ya station ya SGR ilivyokuwa kabla ya ujenzi ukilinganisha na ujenzi ulivyotekelezwa na kukamilika!

Model ya kwanza ilikuwa na ghorofa mbili, moja ndefu na moja fupi, iliyokuja kujengwa na kukamilishwa ni fupi, ile ndefu ambayo nadhani ndiyo yenye thamani kubwa zaidi ikazimishwa!

Hatujasikia mtu akiongea wala kujadili.
 
Kaka S.A ina vingi vya kukushangaza tena vilivyojengwa wakati wa utawala wa Jacob Zuma tu hata siendi mbali.

Yani ni vyakushangaza sana
 
Kwa hiyo unataka kusema kwamba kwakua Durban walifanya hivyo 1982 sisi basi kwakuwa tulishindwa wakati huo kwa hiyo tusifanye sasa!?
Tuache makelele na kutamba.

Hii ni Nairobi Express way brother siku Tanzania ikijenga hizi roads zenye interchange za kufa mtu hivi nitakuwa sipo Duniani.

Sijawahi kupenda kuzaliwa bongo kabisa πŸ˜₯
 
Wekeni dual citizenship nihame niwe nakuja kutembelea ndugu kwa amani tu
 
Tuache makelele na kutamba.

Hii ni Nairobi Express way brother siku Tanzania ikijenga hizi roads zenye interchange za kufa mtu hivi nitakuwa sipo Duniani.

Sijawahi kupenda kuzaliwa bongo kabisa πŸ˜₯
Tafuta mchongo utoke bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…