Hii harusi imenishangaza sana

Hii harusi imenishangaza sana

Tatizo la kufurahia harusi badala ya ndoa,vizazi vimekua havina woga wala haya na kibaya zaidi si baba wakwe wala mama wakwe nao akili zao ni humo humo maana mzazi mwenye busara ni yule amkanyaye mwanae kabla na baada ya kutokea kwa tendo la kufedhehesha nafsi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ya denda la dk 5,, ni uboya na kinaonyesha akili ndogo, nidham mbovu, na ukosefu was staha walionao maharus,,, hayo huwa ni ya faragha na c publicity
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom